Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Hii kazi ya updates ungemuaachia Yericko Nyerere yule bwana ni hodari wa hekaya...ataanza sasa ni majira ya asubuh saa tatu, tupo kaskazini mwa dsm mtaa wa ufipa, nyuzi joto ni 26, naona watu wamevalia kombakti ukitaka kujua hali zao ni shwari, maara namuona kamanda mnyikaa...hiki ndicho kitu anachoweza, yaani umbeya
makamanda mnanipa raha. nikikumbuka story ya Yeriko. afu na hichi kibwagizo mnanipa raha.
Hii kazi ya updates ungemuaachia Yericko Nyerere yule bwana ni hodari wa hekaya...ataanza sasa ni majira ya asubuh saa tatu, tupo kaskazini mwa dsm mtaa wa ufipa, nyuzi joto ni 26, naona watu wamevalia kombakti ukitaka kujua hali zao ni shwari, maara namuona kamanda mnyikaa...hiki ndicho kitu anachoweza, yaani umbeya
Yanatuhusu nini hayo? Hata wewe unaweza kujiita Mrs. Nape..Kwani Musoma ni kata ya Iringa vijijini? huyu jamaa amelipenda tu jina la Nyerere si mtoto wa mwalimu.
Yaani kuna kundi kubwa la vijana wa CDM hapa Kiomboi wamechanyikiwa kabisa wamekosa Raha kabisa na waliowengi walijitoa kwa Mkumbo kwa 100%.
Sasa ndio mwanzo na mwisho wa CDM Iramba sasa mmoja wa vijana nilimsikia akisema huyu Mwigulu sasa Hana mpinzani" wameyataka wenyewe!
Poleni sana sie hayatuhusu
Wewe unasali na huku macho yako jf, kweli IMANI hakuna siku hizi MUNGU tuhurumie waja wako.
Mt Kilimanjaro huna lolote ati una board kwenda wapi? Daladala toka Kimara kwa wachaga hadi mtaa wa ufipa? Nimecheka sana asb hii!
Haya board ndugu yangu Kimara kinondoni
hawa wagalatia nani aliye waroga
mtei amechukia sana zito kuweka pingamizi.zito akishinda kesi lisu anatimuliwa chamani
Bint umeshachumbiwa?Yanatuhusu nini hayo? Hata wewe unaweza kujiita Mrs. Nape..
mtei amechukia sana zito kuweka pingamizi.zito akishinda kesi lisu anatimuliwa chamani
tunawasubiria mkuu kwa,updates yanayojiri huko
Zitto na puppets wake walifikiri utani sasa akili ndio zinaanza kuwarudi.
hivi wachaga walikukosea nini?maendeleo au usomi wao!!
Hapa watu wako kwa mipasho tu na kupunzikiana wengine wanashindwa kuficha hisia zao zilizojaa chuki na wivu .....majungu full.