President Kikwete stop this madness please or resign!

Nilitoa wito wa yeye kukutana na Dr. Slaa kabla ya uchaguzi nilipoona dalili za hali ilipokuwa inaenda na sasa wito huu bado upo. Kwa sababu, watalazimishwa kukutana wakati miili zaidi ya Watanzania itakapokuwa imelazimishwa kulala mavumbini kwa sababu ya kugangamiliana namna hii. Tunaona dalilli zake.
 
c. Stop the madness ya majibizano ya kisasa kati ya viongozi wa chama chake, viongozi wa dini, na watendaji wa serikali. Something is definitely very wrong.

why should he stop political bickerings? nadhani haya majibizano sana sana yanajenga, na sioni faida ya ukondoo wa viongozi wa dini na watendaji wa serikali kama enzi za JKN
 
This guy is definitely weak in leadership he is squeezed box in every angle, ndani ya chama na ndani ya serikali yake. Makamba anatamka lake EL anapinga Malecela anatamka hili Chatanda anapinga, Chilihati ana.....Tambwe ana....., ukija serikalini Kombani anasema hili Werema anasema lake, Ngeleja na lake, Pinda yuko kivyake Sitta yuko na lake Mwakyembe et al.

Yote haya yanatokea Rais angali akiangalia mwisho baraza la mawaziri litagawanyika na kuwa 50/50 hapo ndipo itakapokuwa kazi kulirudisha pamoja. Hata kama ni uvumilivu una kikomo, uvumilivu bila kikomo ni woga he has to act vinginevyo nchi itamshinda soon.
 
Alipoulizwa atapenda akumbukwe kwa lipi katika awamu hii Alijibuje?

Nadhani ataingia kwenye Guiness Book of record as the worst president in history. Watu wake walimwamini na kumchagua kwa zaidi ya 80% hapo mwanzo, lakini yeye aliwaibia hazina yao, aligawa akiba ya pesa aliyo weka Mkapa akasema mabilioni ya Kikwete, alifisadi njia kuu za uchumi kama umeme, reli nk na kuwafanya watu wake wawe maskini.

Pia amejipatia shahada za juu kama vile Idd Amin na hiyo haitakuwa mwisho ataendlea. katika awamu hii amefanya na atazidi kufanya yote kwa nguvu zaidi, kasi zaidi naari ya kutisha.

Wanaojua historia tafadhali niambieni, nani analingana naye? Kwa Ulaya, Afrika Asia? Mugabe hajafanya haya yote, Iddi Amini hakuwaibia watu wake. Mobutu hakuua watu wake.

Huyu lazima aingie kwenye Guiness book of record.
 
I'm sorry (actually i'm not) to say this; what is going on right now is pure madness of sort. Hivi hakuna mtu mwenye hekima ndani ya serikali na chama tawala? Yaani, kila mtu anajitokea na kusema lake, na wenyewe wanapingana na kwa kufanya hivyo wanaonesha how weak President Kikwete actually is. It seems to me that he has lost comman of respect or even loyalty within the party and the government.

It as if he has become a ceremonial president - the one who likes ceremonies! Yaani, sijui nani atamuambia ukweli lakini whatever is going on is not good for the country and for his own legacy. There are a number of things that he personally need to take care of:

a. The Arusha Killings of Chadema supporters; he need to show that he actually care and is willing to do everything not to that such an incident doesn't occur again. The first step, meet Chadema leaders for a candid discussion of the political situation in the country. Hali iliyopo sasa haiondoki kwa mikwara na kudharau!

b. He need to stop the payment to Dowans. He is one of the very few people who knows for a fact why Dowans was formed and how he would benefit (kwa binafsi au familia) when the payments are made. He need to show that he in fact care about this. So far yupo yupo tu.

c. Stop the madness ya majibizano ya kisasa kati ya viongozi wa chama chake, viongozi wa dini, na watendaji wa serikali. Something is definitely very wrong.

Kikwete toka uchaguzi amewashawishi wananchi kuwa he is the president na akatangaza waziwazi Bungeni kuwa "waenda lakini watarudi" kwani yeye ndiyo Rais. Well, Kuwa Rais siyo jina au tunu ya sifa bali ni kazi ya kikatiba. Sasa basi awe Rais na aoneshe kwanini alizinguka mikoa yote hiyo kuomba nafasi ya pili ya kutawala taifa (sijui kama alitaka kuongoza au kutawala).
Kama ni vigumu for him to give the country courageous leadership at this time basi alitendee taifa hisani ili angalau tuanze na Bilal tuone naye atafanyaje. Act or resign. Kwa sababu mengine hata hayaingii kichwani.


Siku hizi umekuwa mshauri wa rais? Huyu sio Lowasa. Jipange upya.
 
Pamoja na kwamba safari hii aliingia madarakani kwa kuchakachua lakini mimi bado nawalaumu waliokuwa wanamshabikia na kumpa kura rais msani, afya mgogoro, asiye na mtazamo wowote na anaye tegemea majini kuongoza nchi.

Huko Arusha na Mbarali ambako tayari ameshamwaga damu ya raia wema kuna kura alipata lakini fadhila wanayoipata ni kuuwawa. Sasa ndio anaonekana Kikwete halisi, Mwanajeshi ambaye kwake kuua ni kitu cha kawaida, fisadi anayetuibia rasilimali za nchi yetu na ambaye sasa anaona alichokuwa anakitaka (urais) amekipata na hata rudi tena kuwaomba isipokuwa kuua tu.

Dr Slaa alisema wakati wa kampeni kumchagua JK ni kuleta janga la kitaifa na sasa ni miezi miwili tu toka arudi ofisini na mambo yenyewe ndio haya, mauwaji kila kona ya nchi.

Mwanakijiji, huyu jamaa nchi imeshamshinda kwa hiyo hawezi tena ku-act na ku-resign ni ngumu si unajua tena viongozi wetu wa Africa inabidi atolewe kwa nguvu ya umma na ashitakiwe.
 
I am surprised that you guys are surprised with his behavior.

Kipindi cha kwanza kuna muda tuliwekwa kwenye auto pilot for a long time, sasa kipindi hiki cha lala salama i was sure this guy will be worse than before.

Mliambiwa msichague maafa.

Sijui kwanini watu mnalalamika honestly, ni kwamba hamkujua haya yatatokea, yani kweli kabisa mlifikiri huyu jamaa has anything to offer!

Eti mnasema aresign kweli jamani! Yaani nguvu zote zile afu aresign na hayo madeni atayalipaje? Nyie andikeni maumivu and I hope you have learnt a lesson ila mpaka 2015 chamoto tutakiona.
 
Mwanakijiji,

Acha hao mawaziri waongee tu, ukweli utasemwa tu. Lazima wasimame tuwahesabu, ikifika siku ya adhabu tutajua ni nani anastahili kuchapwa viboko vingapi.

Nina hakika kuna mawaziri na viongozi wengine kadhaa wa serikali hawapendi haya mambo anayofanya JK. Hivyo iko siku na si mbali wataongea wenyewe na wakishindwa tutawalazimisha tu.
 
Kabla ya tukio la Arusha, tayali kulikuwa na kutofahamiana miongoni mwao, hivyo basi sio suala la kuwaogopa zaidi ya yeye kutotambulika kwao. Kwa msingi huo hatoweza kukutana nao. Kwa upande mwingine inaonekana wazi kuwa wanasiasa hao wanataka kutumia tukio hilo kama mtaji wao.

Mkuu Kibunango nimekukubali. Kumtetea Kikwete kunahitaji ujasiri usio wa kawaida. Nafikiri ni ujasiri wa aina hiyo tunaoukosa wengi wetu humu - una kipaji ndugu yangu.
 
why should he stop political bickerings? nadhani haya majibizano sana sana yanajenga, na sioni faida ya ukondoo wa viongozi wa dini na watendaji wa serikali kama enzi za JKN

kwa sababu.. anayeonekana kushindwa kuongoza ni yeye siiyo hao wengine. Na kinachonisumbua mimi ni kuwa watu wanaanza kuonesha hasira specifically toward the president. Hili si jambo zuri. Ni jambo moja kutokukubaliana kisiasa (which I'm an adamant defender of) na jingine kabisa kuanza kuchukiana au kuchukia public officials.
 
Mwanakijiji,
Acha hao mawaziri waongee tu, ukweli utasemwa tu. Lazima wasimame tuwahesabu, ikifika siku ya adhabu tutajua ni nani anastahili kuchapwa viboko vingapi. Nina hakika kuna mawaziri na viongozi wengine kadhaa wa serikali hawapendi haya mambo anayofanya JK. Hivyo iko siku na si mbali wataongea wenyewe na wakishindwa tutawalazimisha tu.

Indume Yene, inawezekana ni nzuri kisiasa lakini si nzuri kiutawala. Si unakumbuka Obama alivyomwajibisha Gen. McChrystal. Kuna mambo mengine kama kiongozi hutakiwa kuyavumilia let alone kuyaachilia yaendelee. Sisi wengine tuko huru kutoa maoni yetu na kubishana nao usiku kucha, lakiini wale walioko madarakani wanatakiwa wabishane kwenye vyumba vyao vya mikutano.
 
Kwanza kabisa hata hao mawaziri kuongea ongea nakutofautiana hovyo ni udhaifu wa Waziri Mkuu, aliyemchagua mwenyewe. Hapa kuna walakini. Ninaowaonea huruma ni wale wachapa kazi. I cannot imagine Magufuli, Mwakyembe, Mama Tiba watawezaje kundelea na kazi katika mazingira haya na kwa muda gani
 
I never thought I would say this, but I actually think Kikwete has been great for Tanzania. Whether by accident or calculated, we should all be thankful. Think about it!!
 
Natamani Mzee wa Kiduku angeomba hekima kama mfalme solomoni(suleimani) b'se now tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
nionavyo mimi ni kipindi cha lala salama kwake watakaokuja watajaza, bcs nchi inaachwa pabaya sana baada ya uongozi wake hawa wote wanaojibizana sasa wataanzisha makundi mabaya 2015 especially kama katiba haita badilishwa
 
Siku hizi umekuwa mshauri wa rais? Huyu sio Lowasa. Jipange upya.

na ashukuru Mungu anao washauri alionao ambao wanazungusha maneno. Ningekuwa mshauri wake, aidha ningekuwa nimeshajiuzulu zamani au ningemtaka hadharani ajiuzulu.
 
Kwanza kabisa hata hao mawaziri kuongea ongea nakutofautiana hovyo ni udhaifu wa Waziri Mkuu, aliyemchagua mwenyewe. Hapa kuna walakini. Ninaowaonea huruma ni wale wachapa kazi. I cannot imagine Magufuli, Mwakyembe, Mama Tiba watawezaje kundelea na kazi katika mazingira haya na kwa muda gani

MpendaTz, Mawaziri hawawajibiki kwa Waziri Mkuu, they work at the pleasure of the President. Waziri Mkuu ni kiongozi wao tu lakini mengi anayoweza kuyafanya dhidi ya mawaziri wenzake ni lazime yapitie Ikulu kwanza. That is the sad part.
 
umesema kaka natumaini aningia humu au mapepelezi wake wamwambie
I'm sorry (actually i'm not) to say this; what is going on right now is pure madness of sort. Hivi hakuna mtu mwenye hekima ndani ya serikali na chama tawala? Yaani, kila mtu anajitokea na kusema lake, na wenyewe wanapingana na kwa kufanya hivyo wanaonesha how weak President Kikwete actually is. It seems to me that he has lost comman of respect or even loyalty within the party and the government.

It as if he has become a ceremonial president - the one who likes ceremonies! Yaani, sijui nani atamuambia ukweli lakini whatever is going on is not good for the country and for his own legacy. There are a number of things that he personally need to take care of:

a. The Arusha Killings of Chadema supporters; he need to show that he actually care and is willing to do everything not to that such an incident doesn't occur again. The first step, meet Chadema leaders for a candid discussion of the political situation in the country. Hali iliyopo sasa haiondoki kwa mikwara na kudharau!

b. He need to stop the payment to Dowans. He is one of the very few people who knows for a fact why Dowans was formed and how he would benefit (kwa binafsi au familia) when the payments are made. He need to show that he in fact care about this. So far yupo yupo tu.

c. Stop the madness ya majibizano ya kisasa kati ya viongozi wa chama chake, viongozi wa dini, na watendaji wa serikali. Something is definitely very wrong.

Kikwete toka uchaguzi amewashawishi wananchi kuwa he is the president na akatangaza waziwazi Bungeni kuwa "waenda lakini watarudi" kwani yeye ndiyo Rais. Well, Kuwa Rais siyo jina au tunu ya sifa bali ni kazi ya kikatiba. Sasa basi awe Rais na aoneshe kwanini alizinguka mikoa yote hiyo kuomba nafasi ya pili ya kutawala taifa (sijui kama alitaka kuongoza au kutawala).
Kama ni vigumu for him to give the country courageous leadership at this time basi alitendee taifa hisani ili angalau tuanze na Bilal tuone naye atafanyaje. Act or resign. Kwa sababu mengine hata hayaingii kichwani.
 
Back
Top Bottom