Teh Teh....hivi UKAWA mnatumia katiba gani kupata mgombea......
Hata msemeje ccm ni Chama dume na tutashinda hata kwa goli la mkono
Nashangaa wanajichelewesha tuuMgombea si ni Slaa au kuna mwingine?
Hata msemeje ccm ni Chama dume na tutashinda hata kwa goli la mkono
Ukawa ndo pressure juu ccm tupo biyeee tunakatapila hatuogopi matopi
Nahisi una upeo mdogo sana, kwani UKAWA unahusiana na nini na ukoo wa Slaa na Mbowe? UKAWA ni Umoja wa Katiba ya Wananchi. Na umoja huu usingekuwa na nguvu, ile katiba yenu ya joka la makengeza ingeshapigiwa kura ya maoni. Au unafikiri bado 30 Aprili 2015 haijafika? Sasa ujue kuwa UKAWA ni ya wananchi subiri Oktoba 25, ndo utajua kazi.