Presentation ya Dr Rioba Sweden uko very poor

Presentation ya Dr Rioba Sweden uko very poor

Yaani Huyu jamaa kapresent shallow sana kama sio msomi vile, kwanza kwanini a present KWA kiswahili mbele ya wawekezaji?
Hakuna mbona ilikua nzuri ulitaka abonge kingenge..haahha..
 
Yaani Huyu jamaa kapresent shallow sana kama sio msomi vile, kwanza kwanini a present KWA kiswahili mbele ya wawekezaji?
Safi sana kama amepresent kwa kiswahili tunataka tutangaze lugha yetu siyo kila siku lugha ya kitumwa tu!
 
sikutegemea mtu mwenye PhD afanye presentation namna ile kama mtu wa Certificate ni kama hajiamini kabisa utafikiri anasikia baridi, huwa nina wasiwasi sana na hizi phd maana hadi anamaliza chuo kikuu, postgraduate, Masters bado tu anapata shida kufanya presentation.
mkuu hata mimi nimeliona ila nikadhan labda swaum
 
Yaani Huyu jamaa kapresent shallow sana kama sio msomi vile, kwanza kwanini a present KWA kiswahili mbele ya wawekezaji?
Waswidi hawazungumzi Kiingereza bali kiswidi (svenska språket). Sio wazungu wote wanazungumza Kiingereza; kila mtu ana lugha yake anayoithamini.
 
Watanzania bana kweli ni unafiki umewajaa ,mimi nimeangalia presentation ya Rioba ni nzuri sana,sema tu tumejaa zile roho za kwanini,na nadhani kwa wengi hii ndio mara ya kwanza kuona presentation ikifanywa mubashara kupitia runinga,watu mnahusuda sana eti sasa pia mumeanza kuhoji PhD ya Dr Bashiru,hapo nyuma hatukusikia kuhoji,tukubali kutofatiana na hiyo ndio demokrasia mnayoiimba kila siku hapa,presentation inategemea ni kitu gani unachotaka kuongelea,kuongea Kiswahili hakufanyi ulichopresent kisionekane cha maana sababu bado copy ya lugha yoyote inaweza kutolewa,tuache ujinga akina Putin wanaongea lugha ya kwao kwenye mikutano ya kimataifa hata wachina,wajapani hawaongei Kiingereza,hata Wajerumani hawaongei Kiingereza kwenye makongamano au mlitaka aongee lugha gani na hivi kwa akili yenu mmnadhani Ryoba hajui Kiingereza?
 
Waswidi hawazungumzi Kiingereza bali kiswidi (svenska språket). Sio wazungu wote wanazungumza Kiingereza; kila mtu ana lugha yake anayoithamini.
Achana na huyu majinuni mtoa post,Watanzania hujifanya kujua kwa kitu wasichokijua
 
taifa la tanzania.
unalalama nini?mbona rais wa china kaja hapa kahutubia kichina?hulalamiki!
maendeleo hayana uhusiano na lugha.
official language tz n 2 kinge..na kiswa..
Safi sana kama amepresent kwa kiswahili tunataka tutangaze lugha yetu siyo kila siku lugha ya kitumwa tu!
Juzi tu umezinduliwa mpango wa kilimo awamu ya pili umeandikwa kingereza kitupu!

Afu leo mnajutikeza vijitu mnasema Lugha ya kitumwa?
Akili mmepeleka wapi?
 
kwan si mlisema amepresent slaa tena mkamsifu au n mimi nina makengeza ya macho ya maskio na macho?
 
Mh! Msomi wewe au nyuma ya keyboard una lako jambo! Ungesikia "opening remarks" usikuja na lawama hiyo. Isitoshe ubora wa "presentation" siyo lugha, au!
Kiswahili ni Lugha yetu na Tanzania ni Nchi yetu. Kama Lugha ingekuwa issue basi china, Urusi, Uarabuni na kwingineko kusingekuwa na wawekezaji. Hawa watu wengi wa humu JF siku hizi wanadhani Elimu ni KIINGEREZA. Wanasahau kama nayo ni lugha tu kama kindengereko.
 
Mwenye clip yake tafadhali tuone/tusikilize tusiokuwepo!
 
Back
Top Bottom