Presentation ya Dr Rioba Sweden uko very poor

Presentation ya Dr Rioba Sweden uko very poor

gubegubekubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2008
Posts
685
Reaction score
962
Yaani Huyu jamaa kapresent shallow sana kama sio msomi vile, kwanza kwanini a present KWA kiswahili mbele ya wawekezaji?
 
Nimeona anatoka jasho hapa kwa kurukaruka, Hayuko Composed kama mwenzake wa TIC
 
Yaani Huyu jamaa kapresent shallow sana kama sio msomi vile, kwanza kwanini a present KWA kiswahili mbele ya wawekezaji?
Nimegundua kuna raia wa kuomba nakuzaliwa bilashaka ww niraia wakuomba ulitaka azungumze kilugha cha wazungu wakati yy ni mtanzania haha kuwa mzalendo
 
Nimemwangalia anaogopa kuongea wakati wa Kula.. Akifikiria yeye na Bashiru walivyosota kupata PhD zao anaona bora awe msifuji tu.
 
sikutegemea mtu mwenye PhD afanye presentation namna ile kama mtu wa Certificate ni kama hajiamini kabisa utafikiri anasikia baridi, huwa nina wasiwasi sana na hizi phd maana hadi anamaliza chuo kikuu, postgraduate, Masters bado tu anapata shida kufanya presentation.
 
Kufanya presentation nzuri kuna factors nyingi.
 
Back
Top Bottom