Pres.Obama(Miaka 4,safari-32),Pres.JK(Miaka 7,safari 392),Hayati Nyerere(Miaka 25,safari 68)

Jamani mzee wetu analea sasa hivi. Kapata mtoto kwa mama Salma. Huenda safari zikapungua

duh! Rais anashindwa kupanga uzazi, ndio mana Nchi inayumba kumbe alikuwa anatafuta mtoto.
 
Mr Zero uko right
kusafiri sana kwa viongozi sio tija
mwaikibaki na Kagame safari zao hazijafika hata nusu ya za JK
lakini hatuwezi kulinganisha maendeleo ya nchi zao na Tanzania.
katika katiba mpya lazia tuweke kifungu cha kuwawajibisha viongozi wanaotumia madaraka yao vibaya
Belascon na raisi aliepita wa Ufaransa wameshtakiwa kwanini isiwe sisi TZ?
 
Malengo makuu ya safari za Kikwete:


1/Kuomba misaada ya kibinadamu na kiuchumi.

2/Kuomba kusamehewa madeni.

3/Kuvutia wawekezaji wa kigeni kuja kuwekeza nchini.

4/Kutangaza vivutio vya kitalii na Kuvutia watalii wa kigeni.

5/Kuhudhuria mikutano, makongamano, warsha, semina na matukio ya kimataifa.

6/Kwenda kuonana na watu maarufu kisiasa, kimichezo, kimuziki, kiuigizaji, kimitindo.

7/Kuhudhuria mafunzo ya kiuchumi, kijamii nk.

8/Kwenda kutia saini mikataba mbalimbali ya kiuchumi na kimataifa.

SOURCE: IKULU.

sasa mawaziri aliwachagua wa nini? si angebaki peke yake ili afanye yote
 
kama Nimekosea hapo mtanisahihisha.

Rais Barack Obama,amekaa ikulu kwake miaka 4,Amesafiri safari 32,

Hayati Baba wa taifa,amekaa ikulu miaka 25,amesafiri safari 68.

Rais Wa Sasa wa Tz(Dk Jk),ikulu miaka 7,safari 392..

Je hizo safari huwa zinatija kwa Taifa?
Obama ni rais wa nchi tajiri , yeye anafuatwa na masikini kuombwa na JK ni rais wa nchi masikini inabiidi ahangaike kila kukicha kutuombea chumvi kwa majirani. au mnataka akae home tufe njaa? mnazani hayo madafu yanahesabika duniani?
 
Obama ni rais wa nchi tajiri , yeye anafuatwa na masikini kuombwa na JK ni rais wa nchi masikini inabiidi ahangaike kila kukicha kutuombea chumvi kwa majirani. au mnataka akae home tufe njaa? mnazani hayo madafu yanahesabika duniani?

Una muhalalisha Presda kuwa Matonya wa kimataifa aliebobea...
 
mr president is very sick if we dont dare to say this death will say it loud, all these trips is for the sake of his health and not you.
 
Hakika hii ni ajabu ya dunia namba 8 kuona rais wa nchi masikini ya huyu wa kwetu anavyoponda raha na kula kuku kwa sana mawinguni.
 
Naomba mnieleweshe GTs, hizi safari zinahesabiwaje? Mfano rais kaenda marekani safari ya kukaa huko siku 3 baada ya hapo anarudi bongo, hizo ni safari 3, au 1? I'm really puzzled!
 
kama Nimekosea hapo mtanisahihisha.

Rais Barack Obama,amekaa ikulu kwake miaka 4,Amesafiri safari 32,

Hayati Baba wa taifa,amekaa ikulu miaka 25,amesafiri safari 68.

Rais Wa Sasa wa Tz(Dk Jk),ikulu miaka 7,safari 392..

Je hizo safari huwa zinatija kwa Taifa?

Du SAFARI 392 na kila safari night 4 ina maanisha kwamba aliishi nje ya Tanzania kwa siku 1568 ambazo sawa na miaka 4 na kwa kuwa ametumikia miaka 7 ina maanisha tumeishi naye miaka 3 hapa nchini. Bado miaka 3 je ataenda safari ngapi???
 
sasa mawaziri aliwachagua wa nini? si angebaki peke yake ili afanye yote

Ni kweli. Amesahau lengo moja la safari zake.

9. Kwenda kuonyesha uvaaji wa suti (ubishoo!!??), zile alizonunuliwa na mwarabu kule Uingereza.
Mawaziri hawana suti za kuonyesha. Mbonaaaaaa, Rais tunaye!!!!!!!!!!!.
 
kama Nimekosea hapo mtanisahihisha.

Rais Barack Obama,amekaa ikulu kwake miaka 4,Amesafiri safari 32,

Hayati Baba wa taifa,amekaa ikulu miaka 25,amesafiri safari 68.

Rais Wa Sasa wa Tz(Dk Jk),ikulu miaka 7,safari 392..

Je hizo safari huwa zinatija kwa Taifa?

tatizo watz tulichagua kiongozi mpigaji domo sio mtendaji kazi anaenda kushangaa magorofa tu huyo mfujaji wa kodi zetu
 
Hata katika ngazi ya familia ni aibu kwa baba kushinda kwenye nyumba za watu kupiga domo na bakuli la misaada mkononi.
 
Anaenda birthday, kupumzika , kusalimia jamaa, kuomba msaada wa ccm na kujijenga

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
hapo mzee umenena, mi nahisi hizi safari siku nenda rudi ni kujenga chama na kutafuta support nje, kumbuka mobutu alikuwa benet sana na george bush sr mpaka wakamuangamiza lumumba kwasababu ilikuwa haifuati ramani yao. jamaa akiingia kwenye mkutano washington atakuwa anawatisha wazungu wawekezaji ooh upinzani ukishinda watataifisha kila kitu hapo atapata support sana
 
Back
Top Bottom