Wewe unayefanya biashara kuangalia consumer behavior ndie unayeona mjadala sio wa kuelimishana!! Huwezi kufanya biashara bila kujua tabia ya wateja unaowakusudia!Mzee tuishie hapo kama nimekukwaza kwa namna moja ama nyengine naomba unisamehe mm ni binaadam sio mkamilifu pengine nimekukosea maana kumbe nimegundua mjadala haukuwa kuelimishana...naomba msamaha wako
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Yaani seriously unakejeli kuhusu torrents wakati majority humu source yao ni torrents na related sites?!!
