Si umesema sikuharibii biashara?! Trust me, nikiendelea kufafanua nitakuwa nakuharibia biashara kwahiyo naishia hapa!Mzee hii ndo faida ya ultra hd account,kwa wakt mmoj wanatizama
Na ukija kwenye swala la kunigharibia hunigharibii kwa sababu hizo basic ni nafuu zaid nimeweka ultra hd plan kwa sababu itakuwa kivutio kwa wengi la kama una suggest basic palan ni bora zaid pia ni bora kwanguView attachment 1488496
Hiyo screenshot uliyoniwekea hapo juu haina jipya kwa sababu tayari nimeshasema Premium 4K ina faida kwamba unaweza kutumia 4 screens at a time!
On top of that, pia una option ya kupata high quality video ambayo ni ama 1080p or 4K!






!! Kwa bahati streaming zote ndo zipo hivyo... kuanzia NetFlix, Amazon, Hulu hadi YouTube!!