Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama mpaka mwezi wa tatu huku wakiwa wanasubbiri maelewano......
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya