Precission air kunyanganywa ndege tatu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama mpaka mwezi wa tatu huku wakiwa wanasubbiri maelewano......
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya
 
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama mpaka mwezi wa tatu huku wakiwa wanasubbiri maelewano......
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya

Mkuu wewe una bifu gani na hawa Precionair? kila siku unaleta habari negative kuhusu wao. Je hawana jema? wakati mwingine hata one cancellation flight wewe unakuja na kichwa cha habari kikubwa Precisionair yashindwa kuruka! mara oooh Precision air kuwa kama ATCL! nk.

Vipi mkuu ulikuwa na kibarua huko wamekuputa nini? Mambo ya cancellation za flight ni ya kawaida sana kwenye mashirka ya ndege hata hao ma big brother BA, KLM, Emitarates nk wananafanya sana tu.
 
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama mpaka mwezi wa tatu huku wakiwa wanasubbiri maelewano......
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya

Mbona hii habari imekaa kiudaku? Na inaonekana mkuu umefurahishwa sana na hii issue.
 
Mkuu wewe una bifu gani na hawa Precionair? kila siku unaleta habari negative kuhusu wao. Je hawana jema? wakati mwingine hata one cancellation flight wewe unakuja na kichwa cha habari kikubwa Precisionair yashindwa kuruka! mara oooh Precision air kuwa kama ATCL! nk.

Vipi mkuu ulikuwa na kibarua huko wamekuputa nini? Mambo ya cancellation za flight ni ya kawaida sana kwenye mashirka ya ndege hata hao ma big brother BA, KLM, Emitarates nk wananafanya sana tu.


Mkuu satu sina bifu na wala sitarajii kufanya huko soma vizuri ulichoandika na hiyo topic ya cansellation unayosemea
 
Precision air yakwama Mwanza
Tusker Bariiiidi Yesterday, 03:46 PM

--------------------------------------------------------------------------------

Pamoja na kuweka lugha nzuri katika Website yao...

Precisionair is successfully networking the entire region with our unique combination of speed, convenience and reliability for both tourists and business travelers. Remember, we have an over 98% on-time performance record which means we are always on schedule.


Mimi nipo Mwalimu Nyerere International Airport kwa masaa matatu nikisubiri wageni wangu wanaotokea Mwanza na Flight PW 413 BOEING 737…
Mbaya zaidi saa saba na nusu waliwatangazia kuwa wanarekebisha kwa dakika 25 lakini sasa ni almost masaa matatu bado wanasubiria bila ya kuambiwa lolote....

mkuu masatu nimekuletea hiyo comfirm MWANAHALISI =TUSKERBARIIDI??
 
Mkuu wewe una bifu gani na hawa Precionair? kila siku unaleta habari negative kuhusu wao. Je hawana jema? wakati mwingine hata one cancellation flight wewe unakuja na kichwa cha habari kikubwa Precisionair yashindwa kuruka! mara oooh Precision air kuwa kama ATCL! nk.

Vipi mkuu ulikuwa na kibarua huko wamekuputa nini? Mambo ya cancellation za flight ni ya kawaida sana kwenye mashirka ya ndege hata hao ma big brother BA, KLM, Emitarates nk wananafanya sana tu.

I think dude just happens to be very keen with issues that have to do with the local aviation scene. That's all.
 
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama mpaka mwezi wa tatu huku wakiwa wanasubbiri maelewano......
Huku wakiongea kwa huzuni mmoja wa wafanyakazi alisema kwa kweli sijui nini kinaendelea ila ninachojua wafaransa wamekuja kuchukua ndege zao bwana wamekuja na marubani watatu ....inasemekana jamaa wamekuwa wakilamba hela bila kuwalipa...akiongea kwa huzuni wanasema unajua precission ililetewa ndege tatu kutoka kampuni ya ATR ya ufaransa ambayo ndiowaliokuja kuchukua ndege zao sasa inasemekana jamaa awajapeleka hela kama makubaliano.......kazi kweli kweli hizi kampuni zetu za ndege kila siku wanakuja na mpya

Precision air yakwama Mwanza
Tusker Bariiiidi Yesterday, 03:46 PM

--------------------------------------------------------------------------------

Pamoja na kuweka lugha nzuri katika Website yao...

Precisionair is successfully networking the entire region with our unique combination of speed, convenience and reliability for both tourists and business travelers. Remember, we have an over 98% on-time performance record which means we are always on schedule.


Mimi nipo Mwalimu Nyerere International Airport kwa masaa matatu nikisubiri wageni wangu wanaotokea Mwanza na Flight PW 413 BOEING 737…
Mbaya zaidi saa saba na nusu waliwatangazia kuwa wanarekebisha kwa dakika 25 lakini sasa ni almost masaa matatu bado wanasubiria bila ya kuambiwa lolote....

mkuu masatu nimekuletea hiyo comfirm MWANAHALISI =TUSKERBARIIDI??

Sasa hao Wafaransa wataendesha hizo ndege hadi kwao? Vinginevyo naomba uendelee kutujulisha kuhusu maendeleo ya masuala ya Aviation.
 
Mi nahisi hizi ndo theories za kuchukia kila kitu cha Mtanzania mwenzako kisa labda ni Mchagga? au kuna lililo jificha hatujui?
 
Naomba kuuliza, ushirikiano wa Precision na KQ/KLM ndege/connection zao za Nairobi-Dar (n vice versa) na zenyewe zinakuwa affected?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom