T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,296
- 44,756
Inategemea ndege ipi unasema, inayotajwa hapa maximum altitude yake ni 25,000 ft sawa na 7km+ hivi angani. Kwa 10:1 ratio maana yake haifiki maximum 80km gliding range endapo rubani aliipaisha juu to the maximum kabla ya total engine failure which is very rare labda kama ilikuwa inaenda kuishiwa mafuta.Ndege inaweza ku glide up to 100miles. Moro to Dar kwa umbali wa ndege inaweza is ifike hio 100miles.
Na gliding ni uwezo binafsi, bongo hii marubani unakuta hawana hata hobby nyingine hawajawahi rusha hata tiara. Unakuta hawana gliding skills, marubani maarufu hasa kwenye vita ni wale walikuwa waendesha gliders.