nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,685
- 14,069
Mwenye ndege akifariki huwa na ndege zake zinamfuata sijui kuna nini kwenye ulimwengu wa roho...mifano ipo mingi...Kuna yule. Wa Zenji nae ndege zake zilimfuata zote.Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
