Prado mpya ime ibwa muda huu na mwanamke kahaba.

Prado mpya ime ibwa muda huu na mwanamke kahaba.

I hope DHL sijui FEDEX au EMS uliyotumia walikosea address wakaituma ulaya.
Hahaha.Aliekwambia niliwatumia hao nani wakati talaka nimekupa mwenyewe kwa mkono wangu.Huku Shuhuda Baba V akishuhudia.Kuachwa kuchungu e.
 
Last edited by a moderator:
Asije akawa ni yuleyule kiongozi sijui naibu wa wizara fulani aliyeibiwa bunduki 2 AK 47, dola, shilings, Passports, briefcase et al.

Ma'ke anauzoefu sana wa kuibiwa hapo Moro tena na dadaz poaz.

In serious note NI FUNZO na iwe fundisho kwetu.

Hahahahahahahaaaa.............. huo siyo wizi kiongozi!
 
alilitafuta chini ya uvungu!?

Kuibiwa gari kizembe hivyo lazima uchungulie uvunguni; chaga unatoa na kuhakiki kwa kunyanyua kitanda kabisa! Baada ya hapo ni kilio maana ndipo uhakika unapatikana kuwa chombo kimetoweshwa!
 
Kie kie kie kie umenifanya nicheke kwa nguvu mpaka watu ktk bus wananishangaa! JF kuna vitukoSent from my EyePhone
Sio vituko asrams, wanaume wamezidi kuzizeesha hazina zetu.Sasa nasi wacha tuwaonyeshe kuwa hatukuja mjini kushangaa maghorofa.
 
Last edited by a moderator:
Walau atapumzika uzinzi mwaka mzima akijutia utamu wa dhambi. Manake haachi asili, akisahau anaanza kwa ari na kasi mupya kama ccm!
 
hiyo safi sana nadhani atakuwa makini siku nyingine.......

Kwani Katavi huyu jamaa si alishaporwa tena kipindi kile cha bunduki 2 na madolari mengi tu?

Huyu naibu hakomi aisee lol.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha.Aliekwambia niliwatumia hao nani wakati talaka nimekupa mwenyewe kwa mkono wangu.Huku Shuhuda Baba V akishuhudia.Kuachwa kuchungu e.

Basi nadhani that day nilikuwa nimepiga 'CHA AR.'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom