Dah! na sie mnavyozipiga msasa za kwetu tusemeje?
Ndo vizuri sijui ukirudi home mama watoto unamwambiaje???
Habari yake binafsi!!!
I hope DHL sijui FEDEX au EMS uliyotumia walikosea address wakaituma ulaya.
kuna gest kibao na hotel kibao watu wanatoka mikoa ya jirani kulalana hukoni mkoa ambao ikifika ijumaa vyumba vimejaa watu wameweka booking mpaka jmapili jioni kama si usikuHuko moro kuna nini! make hata Malima naye aliibiwa.
Heri ya chikukuu shemejiiiiii
Asante sana Shemeji yangu wa Ukwenhe.............
Karibu Brajec baadae................kutakuwa na kutaniko la wana JF.
kuna gest kibao na hotel kibao watu wanatoka mikoa ya jirani kulalana hukoni mkoa ambao ikifika ijumaa vyumba vimejaa watu wameweka booking mpaka jmapili jioni kama si usiku
Nami nakaribishwa?