Practical experience: Ni rahisi kupata demu ukiwa demu!

Practical experience: Ni rahisi kupata demu ukiwa demu!

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,990
Reaction score
25,384
Kuna msemo maarufu usemao "NI RAHISI KUPATA KAZI UKIWA NA KAZI" kwani unapoenda kwenye hojaji unakuwa hauna papara wala wasiwasi wowote...unatiririka bila hofu na kujikuta umepata kazi nzuri kuliko uliyo nayo sasa.

Msemo huu unasadifu heading ya uzi huu. Kwanini? Juzi kati nimekuwa nikinyatia mademu fulani wa kishua lakini kila niliyemuendea alinidiss. Si ndipo nikaamua kuzama mitaa ya kati uswahili na kufanikiwa kuibuka na Zai...mtoto mwenye ngozi ya asili isiyokobolewa na kemikali za kisasa...vipodozi vyake mpapai, muavokado, mhardali, binzali, limao, nk. Na chachandu tele kiunoni!

Baada ya kumpata mtoto huyu wa asili ndipo wale mademu wa geti kali walionidiss mwanzo wakaanza kufungua milango. Nami nikawadiss sawia! Nafasi ishajaa...Zai wangu ananitosheleza kwa kila kitu. Asikuambie mtu mademu wa kiswahili wako vizuri sana na wana confidence ya kutisha kunako fani tofauti na madem wa kishua ambao wengi wengi wao ni goigoi mno mazoezini. Nimenogewa jumla...mimi na mademu wa kishua, baasi tena!

:israel:
 
Haya buana... kichwa cha habari kipo sawa?
 
Nilijua umejigeuza kuwa demu.... kichwa cha habari chanichanganya mie
 
Kuna msemo maarufu usemao "NI RAHISI KUPATA KAZI UKIWA NA KAZI" kwani unapoenda kwenye hojaji unakuwa hauna papara wala wasiwasi wowote...unatiririka bila hofu na kujikuta umepata kazi nzuri kuliko uliyo nayo sasa.

Msemo huu unasadifu heading ya uzi huu. Kwanini? Juzi kati nimekuwa nikinyatia mademu fulani wa kishua lakini kila niliyemuendea alinidiss. Si ndipo nikaamua kuzama mitaa ya kati uswahili na kufanikiwa kuibuka na Zai...mtoto mwenye ngozi ya asili isiyokobolewa na kemikali za kisasa...vipodozi vyake mpapai, muavokado, mhardali, binzali, limao, nk. Na chachandu tele kiunoni!

Baada ya kumpata mtoto huyu wa asili ndipo wale mademu wa geti kali walionidiss mwanzo wakaanza kufungua milango. Nami nikawadiss sawia! Nafasi ishajaa...Zai wangu ananitosheleza kwa kila kitu. Asikuambie mtu mademu wa kiswahili wako vizuri sana na wana confidence ya kutisha kunako fani tofauti na madem wa kishua ambao wengi wengi wao ni goigoi mno mazoezini. Nimenogewa jumla...mimi na mademu wa kishua, baasi tena!

:israel:

mdau tpaul so ushawahi kuwalala watoto wa kishua
 
Last edited by a moderator:
tpaul
avatar9021_2.gif
avatar9021_2.gif

una taizo gani saa hizi unabandua au kubanduliwa?
umeshaambiwa badili Heading
[h=2]Re: Practical experience: Ni rahisi kupata mademu ukiwa na demu![/h]
 
Mkuu naaona unajifaliji baada ya vibuti mfululizo.....umeamia kwa kuku wa kiswahili ambao msingi ni mbio tu....
 
Kuna msemo maarufu usemao "NI RAHISI KUPATA KAZI UKIWA NA KAZI" kwani unapoenda kwenye hojaji unakuwa hauna papara wala wasiwasi wowote...unatiririka bila hofu na kujikuta umepata kazi nzuri kuliko uliyo nayo sasa.

Msemo huu unasadifu heading ya uzi huu. Kwanini? Juzi kati nimekuwa nikinyatia mademu fulani wa kishua lakini kila niliyemuendea alinidiss. Si ndipo nikaamua kuzama mitaa ya kati uswahili na kufanikiwa kuibuka na Zai...mtoto mwenye ngozi ya asili isiyokobolewa na kemikali za kisasa...vipodozi vyake mpapai, muavokado, mhardali, binzali, limao, nk. Na chachandu tele kiunoni!

Baada ya kumpata mtoto huyu wa asili ndipo wale mademu wa geti kali walionidiss mwanzo wakaanza kufungua milango. Nami nikawadiss sawia! Nafasi ishajaa...Zai wangu ananitosheleza kwa kila kitu. Asikuambie mtu mademu wa kiswahili wako vizuri sana na wana confidence ya kutisha kunako fani tofauti na madem wa kishua ambao wengi wengi wao ni goigoi mno mazoezini. Nimenogewa jumla...mimi na mademu wa kishua, baasi tena!

:israel:

Kweli mkuu kuku wa kiswahili msingi ni mbio tu...
 
Kichwa habari hakiko sawa

hakiko sawa kwa namna gani mkuu? mimi nilikosa mademu wa kishua lakini baada ya kumpata demu wa kiswahili ndipo wale wa kishua wakapatikana. umeona eeh?
 
tpaul
avatar9021_2.gif
avatar9021_2.gif

una taizo gani saa hizi unabandua au kubanduliwa?
umeshaambiwa badili Heading
[h=2]Re: Practical experience: Ni rahisi kupata mademu ukiwa na demu![/h]

mkuu, waambie mods waibadilishe. lakini maudhui ya uzi si umeyaelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom