PPF; Naomba msaada.

PPF; Naomba msaada.

KISHINDO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
2,202
Reaction score
1,957
Habari zenu wana jukwaa!
Naombeni msaada jamani: nilienda PPF Kinondoni Zone kuuliza salio langu, wakanambia network hawana hivyo wakanipatia karatasi yenye maelekezo ya kuandika kama ifuatavyo:
MICHANGO!
Tuma neno ''Michango'' acha nafasi ''Namba yako ya uanachama'', Tuma kwenda namba 15553. (piga)
Nikafuatilia hayo maelekezo then nikatuma.
Baada ya kutuma nikaletewa sms ifuatayo:
Neno la kwanza limekosewa. Tafadhali tuma neno 'michango' au 'dai' ikifatiwa na namba ya uanachama. Au tuma neno 'pensheni' ikifatiwa na pensheni namba. PPF
Nikatuma tena kulingana na maelekezo ya hiyo sms, nikatumiwa tena sms hiyo hiyo. Wanakata sh.150 mara mbili ni sh. 300.
Naombeni mnisaidie kwani nahisi kuna kawizi fulani kanafanywa na hawa ppf. May be nawe ulishaibiwa hivi hivi. Au mnisaidie kama nakosea. Ahsanteni
 
Pole sana ndugu yangu, Tanzania kila sehemu wizi mtupu.
Lakini mimi juzi nimeprintiwa salio langu PPF hapa Tabora bila tatizo lolote.
 
Pole sana ndugu yangu, Tanzania kila sehemu wizi mtupu.
Lakini mimi juzi nimeprintiwa salio langu PPF hapa Tabora bila tatizo lolote.

Ahsante mkuu kwa kunipa pole. Be blessed
 
jamani siku hizi una uwezo wa kuji-printia statement ,status ,contribution zako za ppf cha kufanya nenda kwenye website ya ppf au ngoja niwawekee na link kabisa Homepage - PPF Pensions Fund hapo unaweza kuregister kisha ukawa na account kama ya facebook au jamii forums vile baada ya hapo kinachofuata unalog In kisha ina bonyeza huduma unayoitaka kama statement, contribution pia au pia kuulizia status ya madai yako sisi wa Tz Mungu atusadie huwa tunatumia technolojia hi ya Tehama kwenye mitandao ya kijamii na kuangalia yale mambo yetu yaleee tunaacha mambo muhimu kisha tuna enda kupanga foleni kule ppf kusumbua watu
 
jamani siku hizi una uwezo wa kuji-printia statement ,status ,contribution zako za ppf cha kufanya nenda kwenye website ya ppf au ngoja niwawekee na link kabisa Homepage - PPF Pensions Fund hapo unaweza kuregister kisha ukawa na account kama ya facebook au jamii forums vile baada ya hapo kinachofuata unalog In kisha ina bonyeza huduma unayoitaka kama statement, contribution pia au pia kuulizia status ya madai yako sisi wa Tz Mungu atusadie huwa tunatumia technolojia hi ya Tehama kwenye mitandao ya kijamii na kuangalia yale mambo yetu yaleee tunaacha mambo muhimu kisha tuna enda kupanga foleni kule ppf kusumbua watu

Ahsante sana Illegal migrant kwa ushauri wako mzuri. Kwa kweli kwa ushauri huu, naomba nikuite legal migrant. Be blessed sana
 
karibu ndugu, kwa mtindo huu utaona michango yako yootee hata pale mwajiri hakupeleka pia utaona, kiwango cha michango kwa mwezi pia utaona, jumla ya michango pia utaona na kama pia utakuwa uli wasilisha madai yako pia ukiangalia kwa kubonyeza "status" utaona hatua ilipofikia au ilipokwamia kweli hawa jamaa kwa hili nawasifu
 
karibu ndugu, kwa mtindo huu utaona michango yako yootee hata pale mwajiri hakupeleka pia utaona, kiwango cha michango kwa mwezi pia utaona, jumla ya michango pia utaona na kama pia utakuwa uli wasilisha madai yako pia ukiangalia kwa kubonyeza "status" utaona hatua ilipofikia au ilipokwamia kweli hawa jamaa kwa hili nawasifu

Vyema mkuu, nimekukubali
 
jamani siku hizi una uwezo wa kuji-printia statement ,status ,contribution zako za ppf cha kufanya nenda kwenye website ya ppf au ngoja niwawekee na link kabisa Homepage - PPF Pensions Fund hapo unaweza kuregister kisha ukawa na account kama ya facebook au jamii forums vile baada ya hapo kinachofuata unalog In kisha ina bonyeza huduma unayoitaka kama statement, contribution pia au pia kuulizia status ya madai yako sisi wa Tz Mungu atusadie huwa tunatumia technolojia hi ya Tehama kwenye mitandao ya kijamii na kuangalia yale mambo yetu yaleee tunaacha mambo muhimu kisha tuna enda kupanga foleni kule ppf kusumbua watu

Thanx kwa kutusaidia mimi nimejisajiri tayari baada ya kusoma post yako
 
Huyu illegal yuko muswano *vizuri*
Laiti jf ingekuwa na akina illegal wa5 tu ingetosha sana. The problem vichaa ndo wengi humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom