PPF Liason interview

PPF Liason interview

wife kaitwa,sijui nimunyime nauli asije,maana naona kama hakuna matumaini kama ndo mambo yenyewe ndo haya
 
muda wa hiyo interview ya ppf ni saa ngapi na wanafanyia wapi, kuna rafiki yangu amesema ametumiwa email lakin imekataa kufunguka so anaomba kujua zaidi ili akafanye
 
Mie pia nimeitwa. Kwani kwa mliokwisha fanya interview zao, vitu gani wanavitaka? mnafanya kwa muda gani?
 
Ushauri nenden mfike getin mtafutane nani aingie nani asiingie humu mmh siendi niende.kulishana kasa mtu akosebahatiyake..fika pale mtafutane kamakweli amjaenda...
 
Nimeota.mnalishanakasa.kupunguzaa.idad.nimeota tu
 
Back
Top Bottom