Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Kama mnaweza ni vyema mkajiunga na mashirika mengine
hili ppf kwa kweli limeanza kuchoka watu wameanza kudai pesa
yao kama walikuwa awatoi.....pesa zinakuja daiwa baada ya mwaka
je hapo kuna umhimu wa kujiunga nayo??
Hili shirika linaitaji kurekebishwa watu wamenza kufanya kazi kwa mazoea kwa urafiki na mwisho kuanza kuaribu maisha ya watu
nalaani kwa garama zote mambo machafu yanayfanywa na ppf
akuna sehemu utasikia mdau amekaa zidi ya miezi 3 akaachwa kimya
huu ni uhuni kuanzia bodi mpaka menejiment yake....kama mnaweza kuhama ameni mara moja kwanza mfumo wake wa kulipa pesa ni mchafu kabisa tofauti na nsff na wengine wapya wazuri
unaenda sehemu kudai hela yako kwa shida baada ya hapo wakwambie sheria fulani imetumika upati hela yako yoote jamani huu si ujambazi
embu tuamke kama mnaweza kuhamia nssf na wengineo nawatangazien jamani tuwakimbie hawa tuwaachie wenyewe na matapeli wao watakaoweza kuishi nao wanavyotaka bila kutuharibia fyucha za watoto zetu....kumekuwa na matatizo ya makampuni mengi yakiwalalamikia kwa kuacha waajiri wakitumbua pesa za wafanyakazi bila kupeleka sehemu husika...na hili yawezekaana ikawa ni ama urafiki wa wakurugenzi husika ama watu kutotambua umuhimu wa wajibu wao
nawakilisha
hili ppf kwa kweli limeanza kuchoka watu wameanza kudai pesa
yao kama walikuwa awatoi.....pesa zinakuja daiwa baada ya mwaka
je hapo kuna umhimu wa kujiunga nayo??
Hili shirika linaitaji kurekebishwa watu wamenza kufanya kazi kwa mazoea kwa urafiki na mwisho kuanza kuaribu maisha ya watu
nalaani kwa garama zote mambo machafu yanayfanywa na ppf
akuna sehemu utasikia mdau amekaa zidi ya miezi 3 akaachwa kimya
huu ni uhuni kuanzia bodi mpaka menejiment yake....kama mnaweza kuhama ameni mara moja kwanza mfumo wake wa kulipa pesa ni mchafu kabisa tofauti na nsff na wengine wapya wazuri
unaenda sehemu kudai hela yako kwa shida baada ya hapo wakwambie sheria fulani imetumika upati hela yako yoote jamani huu si ujambazi
embu tuamke kama mnaweza kuhamia nssf na wengineo nawatangazien jamani tuwakimbie hawa tuwaachie wenyewe na matapeli wao watakaoweza kuishi nao wanavyotaka bila kutuharibia fyucha za watoto zetu....kumekuwa na matatizo ya makampuni mengi yakiwalalamikia kwa kuacha waajiri wakitumbua pesa za wafanyakazi bila kupeleka sehemu husika...na hili yawezekaana ikawa ni ama urafiki wa wakurugenzi husika ama watu kutotambua umuhimu wa wajibu wao
nawakilisha