nafasi 6 watu 3800
Duh kama kweli maswali ndo hayo mimi ningepata zero
Duh kama kweli maswali ndo hayo mimi ningepata zero
Wana watu wao hao ndio maana nilisema kama uko Mkoani Kigoma,Kagera au Mwanza na umeitwa na PPF kwa interview ni bora uongezee mtaji iyo pesa kuliko kuja Dar kufanya usaili unajipotezea mda tu,....mi nimefanya nao interview had final stage ila Holaa mwisho wa siku wamewaita watu
waooo.....Poleni kwa mliotoka Mkoa kuja
kufanya usaili wa PPF
Mke wangu aliitwa kwenda kufanya usaili na PPF post ya Liaison Operations Trainee,saa tano leo pale jengo la Elimu ya watu wazima opposite na NBAA.
Wife anakumbuka baadhi ya maswali aliyofanya.
1. Leo ni jumatatu baada ya siku 61, itakua siku gani?
2. Msajili wa sasa wa vyama vya siasa nchini ni nani?
3. Mji mkuu wa Burkina faso unaitwaje?
4. Nchi gani ndogo kuliko zote duniani?
5. Nchi gani ya zamani sana kuliko nchi yoyote duniani?
6. Mwendesha mashitaka mstaafu wa ICC
7.Bosco Ntagandwa alianza uasi mwaka gani?
Session ya saa tano, bado wale wa saa mbili na wale wa saa nane na kila session na maswali yao!!
Maswali yalikua 15,Dakika 15! Kuna mengine ni multiple choise.
Sasa swali langu hayo hapo maswali yanahusiana nini ni PPF?
Kaka kwanza na kulaumu naona kama ulichelewa kufuatilia threads za PPF humu laitani ungewajua mapema usinge mruhusu mkeo aende kufanya lkn sikulaumu sana coz ndio uhaba wa ajira hapa nchini kwetu unafanya tuteseke kiasi hiki, PPF wana prove failure kila siku zinavyokwenda coz naona hata staffs wao walio warecruit sio compitent ni wazi kua wanao watu kwa setup ya mitihani yao!
Unaulizwa swali number ya mezani ya PPF ni ipi?, mwenyekiti wa board of trustee wa PPF ni nani? Hahahahaha
kama shangazi yako au anko yko mkubwa utapata nafasi