kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,309
- 12,604
Ili Kununua ndege lazima kwanza wengine wapotee na kufa, tutaweza? Kiiza Besije angekuwa Tanzania angeshakufa au kupotea siku nyingiMkuu hapa kwetu si unajua tena! Viwanda vinajegwa kwa kusweka wapinzani ndani, kununua wapinzani au hata "kuwaakwilinalize". Sasa ngoja kwanza tumalize upinzani halaf vikwazo vitakuwa vimeondoka na viwanda vitaibuka! Ha ha ha! What a dream!