Posta nendeni wenye moyo tu.

Posta nendeni wenye moyo tu.

Kumbe umeenda posta mpya! Ooh nenda mwenge kituo cha daladala na mlimani city. Tafuta hela wewe wanawake sio deal la mjini.
 
Asprin njoo uone hapa bhana nisijeshangaa mwenyewe bure
eti naye anatoa mapwoint mjengoni humu
kumbe ndiye yule aliyeshindikana pale posta mpaka akapigwa kwa matofali kwa :shock:
 
Last edited by a moderator:
mkuu posta ukipazoea sishida sana, i've been livng there for 3yrs consecutively
 
Ukitaka kujua mwanamke wako ni mkali basi nenda naye posta mpya ya dar, walahi utamuacha kituo cha daladala maana ndo utajua kumbe wanawake wakali wapo na wako si kitu, kila nikikanyaga posta nakuwa mzito kutoka, nitajizungusha hadi jioni hata kama sina cha kufanya, kisa niwaone wanawake wakali, leo nimepishana na mwanamke nikashika kichwa, kavaa kingua chake, ilinibidi nisimame kumuangalia na kujisemea hii dunia kuna watu wanafaidi nikimaanisha jamaa anayetoka na huyo binti, mitaa ile ya jaymo, kama mwanamke huyo ni member humu basi walau tutafutane.
mzee uzuri wa mtii....malizia hi methali,amini chako ni kizuri na usiadaike na visivyo kuhusu.tamaa ya macho inapoza mwili,ACHA MICHEPUO TULIZANA
 
tafuta pesa utatupata warembo la sivyo utaendelea kula kwa macho tu huko posta
 
Jaymo ndo wapi hapo ..mkuu hamna sehemu inaitwa hivyo pale ni J MALL SAWA MKUU
 
Ukitaka kujua mwanamke wako ni mkali basi nenda naye posta mpya ya dar, walahi utamuacha kituo cha daladala maana ndo utajua kumbe wanawake wakali wapo na wako si kitu, kila nikikanyaga posta nakuwa mzito kutoka, nitajizungusha hadi jioni hata kama sina cha kufanya, kisa niwaone wanawake wakali, leo nimepishana na mwanamke nikashika kichwa, kavaa kingua chake, ilinibidi nisimame kumuangalia na kujisemea hii dunia kuna watu wanafaidi nikimaanisha jamaa anayetoka na huyo binti, mitaa ile ya jaymo, kama mwanamke huyo ni member humu basi walau tutafutane.
😕😕😕😕 Mbona siibi cha mtu, nala vyangu nilivyopewa na mola mie...walimwengu mna hila mbaya ya nini kunifatafata?????
😕😕😕😕
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom