unadhani hela ndio kila kitu?
nilivosoma heading nilidhani wazungumzia foleni asee
mie nikadhani maghorofa
mie nikadhani maghorofa
Usirudie tena kushikashika watu vichwa ebo! Kumbe ndo wewe!
kumbe wadada wazuri
duuu
sijakuona muda mrefu, ulienda wapi?
nini wewe uloidhaini magorofa mm nilidhani anasemea yule askari aliyesimama muda mrefu wala hachoki
mzee uzuri wa mtii....malizia hi methali,amini chako ni kizuri na usiadaike na visivyo kuhusu.tamaa ya macho inapoza mwili,ACHA MICHEPUO TULIZANAUkitaka kujua mwanamke wako ni mkali basi nenda naye posta mpya ya dar, walahi utamuacha kituo cha daladala maana ndo utajua kumbe wanawake wakali wapo na wako si kitu, kila nikikanyaga posta nakuwa mzito kutoka, nitajizungusha hadi jioni hata kama sina cha kufanya, kisa niwaone wanawake wakali, leo nimepishana na mwanamke nikashika kichwa, kavaa kingua chake, ilinibidi nisimame kumuangalia na kujisemea hii dunia kuna watu wanafaidi nikimaanisha jamaa anayetoka na huyo binti, mitaa ile ya jaymo, kama mwanamke huyo ni member humu basi walau tutafutane.
unadhani hela ndio kila kitu?
😕😕😕😕 Mbona siibi cha mtu, nala vyangu nilivyopewa na mola mie...walimwengu mna hila mbaya ya nini kunifatafata?????Ukitaka kujua mwanamke wako ni mkali basi nenda naye posta mpya ya dar, walahi utamuacha kituo cha daladala maana ndo utajua kumbe wanawake wakali wapo na wako si kitu, kila nikikanyaga posta nakuwa mzito kutoka, nitajizungusha hadi jioni hata kama sina cha kufanya, kisa niwaone wanawake wakali, leo nimepishana na mwanamke nikashika kichwa, kavaa kingua chake, ilinibidi nisimame kumuangalia na kujisemea hii dunia kuna watu wanafaidi nikimaanisha jamaa anayetoka na huyo binti, mitaa ile ya jaymo, kama mwanamke huyo ni member humu basi walau tutafutane.