Posta kutamu bwana, asikuongopee mtu.

Dah, nilijikuta ghafla nimefika Posta ya zamani, acha ile mpya yenye makelele na mijengo mingi ya kisasa.
Pale kwanza kuna upepo bwana, wa bureeh! Afu kuna garden pale mbele ya NBC Corporate ambalo hata hulipi kuwako hapo, ingawa kuna viuchafu vya hapa na pale vya chupa za maji na maganda ya shikirimu, potelea mbali!
Cha bure huchagui bwana!
Yote tisa, kumi ni yale makundi ya raia wa Kiswahili wakicheza drafti na bao, kwanza hawana ubaguzi, hawaulizi kabila wala dini, mradi unasema lugha kama yao we unaliunga na stori zao. Wengi ni madereva taksi na mishen tauni, wanaujua mji vema sana, mtaa mpaka mtaa. Ukijiloga ukiwauliza eneo fulani, watakupa maelezo ya kina mpaka watakukera! Nilipata muda wa kujumuika nao, ni wacheshi, hawana ubaguzi hata kama ndo wanakuona mara ya kwanza, I mean hawakuulizi 'join date' au 'rep. power'?
Ah, Mungu Mwenyezi awazidishie viumbe wale...
Hivi nishawajuza kama pale kuna upepo wa bure eh? Miksa unasafisha macho yako kwa 'view' ya bandari na maji ya bahari, bila kusahau majengo imara ambayo umri wayo si haba ati?
Cha mwisho, hakuna kuchefuana pale, wale vijana wenye maisha ya 'bongo movies' wanaopatikana Mlimani City pale hawapo, kila mtu ni 'genuine' kama alivyo... Wala hautaona vi-skin vya kubana makalio na vitop vya kuacha matiti inje. Utamaduni wa Mswahili ungali na uhai fulani pale.
Hiyo ndo POSTA bwana,
afu ati watu wanalazimisha wengine wahamie Dodoma,
chezea Posta weye?
sio kosa lako ndio una xmas moja hapa mjini....pumbaa!!
 
sio kosa lako ndio una xmas moja hapa mjini....pumbaa!!

hii gari kubwa mdogo wangu, utamaliza mafuta yako bureeh?
Kwa taarifa yako sina hata X-Mas moja hapa mjini, zote huwa zinanikuta kwetu, mimi kabila kubwa wewe!
Afu kama unataka ligi na mimi tangaza maazimio, sio unipige ngumi za kuvizia halafu unajificha.
Sawasawa?
 
hii gari kubwa mdogo wangu, utamaliza mafuta yako bureeh?
Kwa taarifa yako sina hata x-mas moja hapa mjini, zote huwa zinanikuta kwetu, mimi kabila kubwa wewe!
Afu kama unataka ligi na mimi tangaza maazimio, sio unipige ngumi za kuvizia halafu unajificha.
Sawasawa?
kiukweli mkuu umekaa kitaarabu zaidi...ckuwezi mkuu!!!
 
kiukweli mkuu umekaa kitaarabu zaidi...ckuwezi mkuu!!!

suala la taarab na kunishindwa kwako hakuna uhusiano mdogo wangu.
Unachotakiwa ni kusema kama unamaindi ligi na mimi, kisha nitangaze uadui na wewe, na sio kunivizia kwenye thread na kunijia juu.
Umenunua kesi mwenyewe halafu unaomba poo mkuu?
 
suala la taarab na kunishindwa kwako hakuna uhusiano mdogo wangu.
Unachotakiwa ni kusema kama unamaindi ligi na mimi, kisha nitangaze uadui na wewe, na sio kunivizia kwenye thread na kunijia juu.
Umenunua kesi mwenyewe halafu unaomba poo mkuu?
mbona unaonekana unapenda penda ligi,..maana kila kona unaandika ligi..
mbona izo tabia ni kama za kicho***?peleka magomeni izo tabia zako...ebu nipotezee mkuu, tusiharibiane siku
 
mbona unaonekana unapenda penda ligi,..maana kila kona unaandika ligi..
mbona izo tabia ni kama za kicho***?peleka magomeni izo tabia zako...ebu nipotezee mkuu, tusiharibiane siku

sawa cho** mkubwa.
Huko Magomeni kuna nini in relation to hiyo tabia?
Inaonekana una taarifa za kutosha wewe,
enhe? Hembu nijuze...
 
nakufananisha na mnyama fulani ivi wakike

sawa bingwa wa kufananisha.
Mimi nakuona wewe binadamu wa kawaida tu, ila unayehitaji uangalizi wa karibu.
Kwani uko katika kipindi cha mpito kuelekea uchizi.
 
sawa bingwa wa kufananisha.
Mimi nakuona wewe binadamu wa kawaida tu, ila unayehitaji uangalizi wa karibu.
Kwani uko katika kipindi cha mpito kuelekea uchizi.
tehe tehe!!!asante maana umeongea kwa uzoefu mkubwa..
kwa kua inaonekana ww tayari umepitia icho kipindi, na sasa umeshakua CHIZI uliebobea...
 
tehe tehe!!!asante maana umeongea kwa uzoefu mkubwa..
kwa kua inaonekana ww tayari umepitia icho kipindi, na sasa umeshakua CHIZI uliebobea...

naona tofauti zetu in terms of upeo wa kufikiri ndio wenye unatufanya tusielewane.
Kama vipi pitia signature yangu hapo chini,
then mnakasha uendelee!
 
naona tofauti zetu in terms of upeo wa kufikiri ndio wenye unatufanya tusielewane.
Kama vipi pitia signature yangu hapo chini,
then mnakasha uendelee!
hata ivyo nakupa umaarufu sana kujadili mada na ww!!haswa utumbo kama huo hapo juu...
na ulivyo mwehu zaidi, hata sign. huna unasema niangalie chini, unapajua chini ww?
 
hata ivyo nakupa umaarufu sana kujadili mada na ww!!haswa utumbo kama huo hapo juu...
na ulivyo mwehu zaidi, hata sign. huna unasema niangalie chini, unapajua chini ww?

you have no option dogo.
Najua unajisikia raha sana kubishana na JF Senior Expert Member, ambae mchango wangu unatambulika humu jamvini, tofauti na wewe unayejitutumua, keep it up, na mimi sitakuvunja moyo, nazidi kukupa matumaini.
Inawezekana signature yangu hujaiona, ila ipo.
Itafute uisome, au ukiona chenga ianzishie thread, memba watakupa majibu.
Adios...
 
Back
Top Bottom