anuary salum
Member
- Dec 7, 2012
- 70
- 4
ni mengi sana huwezi kukopi.
I'm sorry JK. ulikua bonge la rais. uchumi wako ulikuaa sambamba na uchumi wa raia na ulipenda iwe hivyo. kipindi chako ajira kibao, nyongeza ya mishshra na madaraja, na mikopo vyuoni bila ubaguzi wa rangi. hukuwachukia wa dilpoma na kuwanyima mikopo kama huyu wasasa.hii ilikuwa kwa hisani ya jk
Pogba? Anahusiana na ajira za walimu.kwa hisani ya pogba
am sorry jkPogba? Anahusiana na ajira za walimu.