Sadick Nkinda
Member
- Feb 15, 2014
- 77
- 9
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
Yaani umecema kile nilichokuahahah tatizo mmefaulu wengi. . .ila zitatoka tuu kama vip mtaenda jesh kwanza
sasa mimi kama mwanafunzi ninayetegemewa na ndugu zangu nije kuwasaidia...,Kama wewe ndo unategemewa na ndugu zako basi wanategemea empty set...fumbapu
sasa mimi kama mwanafunzi ninayetegemewa na ndugu zangu nije kuwasaidia...,na kutokana na hii serikali mbwa koko inayokatalia wanafunzi kwenda shule tutegemee makubwa huku mtaani,binafsi nishaanza kukombakomba vitu vya watu na ninaandaa maandamano mpaka wizara ya elimu na ni kuhusu uzembe unaojitokeza kwa watumishi wake......tumejipanga vijana kama 15 wenye afya nzuri tuu.
Na kama hamtatangaza hizo post kufikia tarehe 25,tunaanza kutembeza MIMBA kwa wasichana wote tunaowaona mbele na PANYA ROAD we are back due to this post delay MJIANDAE.
Nimeambiwa hata kutoka chanzo cha kuaminika kuwa kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi serikali inaogopa lawama imchukue nani na imuache nani!!!!.
Taarifa zilizopo ni kuwa watadelay mpaka shule za pivate zote zifunguliwe ili wazazi wakate tamaa na kuwapeleka huko. Baada ya hapo watato selection yenye masharti ya kuripoti ndani ya siku 7
sasa mimi kama mwanafunzi ninayetegemewa na ndugu zangu nije kuwasaidia...,na kutokana na hii serikali mbwa koko inayokatalia wanafunzi kwenda shule tutegemee makubwa huku mtaani,binafsi nishaanza kukombakomba vitu vya watu na ninaandaa maandamano mpaka wizara ya elimu na ni kuhusu uzembe unaojitokeza kwa watumishi wake......tumejipanga vijana kama 15 wenye afya nzuri tuu.
Na kama hamtatangaza hizo post kufikia tarehe 25,tunaanza kutembeza MIMBA kwa wasichana wote tunaowaona mbele na PANYA ROAD we are back due to this post delay MJIANDAE.
Mkuu! Inaonyesha Wazi Umechikizwa Sana Na Suala La Ucheleweshaji Post
Nimeambiwa hata kutoka chanzo cha kuaminika kuwa kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi serikali inaogopa lawama imchukue nani na imuache nani!!!!.
Taarifa zilizopo ni kuwa watadelay mpaka shule za pivate zote zifunguliwe ili wazazi wakate tamaa na kuwapeleka huko. Baada ya hapo watato selection yenye masharti ya kuripoti ndani ya siku 7