Kabisa Yan
Jamani nisaidien naomba kwa anayefahamu ni lini post za kujiunga form 5 kwa mwaka 2015/2016 zitatoka lini?
mwaka huu hakuna 4m 5 ndugu munaenda chuo tu
Mm ninapita tu.
Ila tusiwaze sana at kwamba hawatusikii Inshu kubwa ni je humu kuna muhusika hata mmoja aliyeko kwenye secta husika..
Mm ninachojua jamaa walisha maliza kazi zaman ila wameyaweka had itakapofika siku/trh waliyokubaliana,
so kwa sasa wanaonyesha msimamo wao.
Nilisema Kesho Nazitangaza Rasm
nataka kuuliza wadau et ukiwa na credit ya 2.4 unaweza kuchukuliwa? alafu comb ni HKL(history-b,kiswahili-b+ na language b+)
kweli?
hivi kweli waliopata credit hawatochaguliwa
mkuu kwa kweli unaonekana umechukia sana kuhusiana na swala la selection kutotangazwa
Mdogo angu alipata credit ya 31 alichaguliwa
rafiki ake alipata merit hakuchaguliwa shule wala chuo
Chakua hatua mapema
Mdogo angu alipata credit ya 31 alichaguliwa
rafiki ake alipata merit hakuchaguliwa shule wala chuo
Chakua hatua mapema
Nilisema Kesho Nazitangaza Rasm
mkuu kwa kweli unaonekana umechukia sana kuhusiana na swala la selection kutotangazwa