TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,712
- 10,209
Nimekuwa nikifuatilia visa vya huyu jamaa.
Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa yaliyomkuta.
swali langu kubwa ni moja, je kwanini avatar yake kaweka pisa ya Osofia in London?
Kama kuna mtu anamjua fresh Bujibuji, naomba ani pm ili nikusanye some info, na kama Bujibuji yuko tayari tushirikiane kuandike kitabu. naamini kitauza sana.
Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa yaliyomkuta.
swali langu kubwa ni moja, je kwanini avatar yake kaweka pisa ya Osofia in London?
Kama kuna mtu anamjua fresh Bujibuji, naomba ani pm ili nikusanye some info, na kama Bujibuji yuko tayari tushirikiane kuandike kitabu. naamini kitauza sana.