Post za Bujibuji

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,712
10,209
Nimekuwa nikifuatilia visa vya huyu jamaa.
Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa yaliyomkuta.
swali langu kubwa ni moja, je kwanini avatar yake kaweka pisa ya Osofia in London?
Kama kuna mtu anamjua fresh Bujibuji, naomba ani pm ili nikusanye some info, na kama Bujibuji yuko tayari tushirikiane kuandike kitabu. naamini kitauza sana.
 
sina haja ya kuPM lkn namjua sana tena kwa ukaribu zaidi ni mmjomba wa mwanangu,meaning ni kaka yangu wa dam lkn lol sina ham nae kabisaaaaaaa,maisha yake yamejaa matukio kila kukicha utasema aljazeera!sisi kama familia tumemchoka jamani labda mwenye msaada!kama una maswali yyte plz niulize usisite kabisa.
 
Nimekuwa nikifuatilia visa vya huyu jamaa.
Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa yaliyomkuta.
swali langu kubwa ni moja, je kwanini avatar yake kaweka pisa ya Osofia in London?
Kama kuna mtu anamjua fresh Bujibuji, naomba ani pm ili nikusanye some info, na kama Bujibuji yuko tayari tushirikiane kuandike kitabu. naamini kitauza sana.

Mkuu mfuate PM mtamalizana fresh
 
Soma katikati ya misitari ndugu usaniii kibao mara nimezodolewa na manesi, mara nini sijui?
Soma between lines. Akiuza cheni feki nasi twampa pesa bandia mwendo mdundo ngoma droo!!

Kumbe hujashitukia hilo mpaka leo nyingi humu za kutunga watu wanafikria then wanarusha live!!!
 
Soma btwn the lines ndugu yangu usije kuuziwa mbuzi kwenye gunia WHAT YOU SEE IS NOT WHAT YOU GET
 
Happy New Year......!!!!!!!!!!!!!!! Missing you so much.....!!!!!!!!!! How are you doing dear? Hope alright....!!!!!!!!!!!!!
miss u 2 kk.... i'm ok alhamdulillah... new year inakwenda sawia alhamdulillah,,, what about u??:coffee::A S thumbs_up:
 
naomba ieleweke wazi sina nia mbaya na buji, nahisi anaweza kunisaidia kwenye kuandika script za sinema, namuona he is much creative kwenye visa na mikasa
 
Bujibuji ni mganga wa Kieneyeji is my best friend.....

17260153
 
usighofu tushakufaham na we vuta subra inshallah utampata..... lakini mi nahisi yule jamaa apatikana sana kule kwenye udaku na jokes..... ukimfatilia utampata...
naomba ieleweke wazi sina nia mbaya na buji, nahisi anaweza kunisaidia kwenye kuandika script za sinema, namuona he is much creative kwenye visa na mikasa
 
nimengea nae nimempa msg yako ngoja nione kamA AKIKUBALI WILL PM U NO YAKE.
 
naomba ieleweke wazi sina nia mbaya na buji, nahisi anaweza kunisaidia kwenye kuandika script za sinema, namuona he is much creative kwenye visa na mikasa

inaelekea hataki.
Kwa visa anavyoandika hata ningekuwa mimi nisingetaka kuonana na watu zaidi ya wale ninaowajua tangu awali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom