Post za Bujibuji

Post za Bujibuji

hizi mambo zako nguli huwa unaziibua wapi?
napenda sana
Poa mkuu tena ndio amespecialize moja ya pozi zake adimu sana hizi hapa enzi za utotoni

images
 
Nimekuwa nikifuatilia visa vya huyu jamaa.
Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa yaliyomkuta.
swali langu kubwa ni moja, je kwanini avatar yake kaweka pisa ya Osofia in London?
Kama kuna mtu anamjua fresh Bujibuji, naomba ani pm ili nikusanye some info, na kama Bujibuji yuko tayari tushirikiane kuandike kitabu. naamini kitauza sana.

Mkuu laiti ungefanikiwa kujumuika na wanajamii waliokutana Arusha Unelifanikiwa kumwona Bujibuji Live.
Mwenzako nilifanikiwa kuonana nae.Ni kweli Unayosema Kijana ana Vipaji Vingi sana
Bujibuji is Real Talented
 
Bujibuji yuko nondo, napenda sana threads anazozipost humu!
 
Nilipenda thread ya BB juu ya filamu za Bongo.
 
Bujibuji ana vituko vingi sana mie huwa nashindwa kuamini kama ni vya kweli ama ni mazungumzo baada ya habari

Kwanza hiyo avatar yake na vituko vyake vinafanana kabisa na Osofia mwenyewe akiwa katika movie action:biggrin1:
 
bujibuji.! yes he is kind a funny guy! i like him.:grouphug:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom