"haya niliyogusia naweza nikakueleza kwa undani wala hayafichwi"
Basi tuendelee kutiririka hapo ulipo ishia mkuu Monstgala/Mgalanjuka ili 2pate mengi ndugu, nipe hiyo kitu kwa undani basi
Am so interestf
.made in mby city.
Mkuu Mjuni Lwambo, Kwa lugha nyepesi, makadirio ya idadi ya nyota katika ulimwengu wote yamebase kwenye vigezo vya standard za observable universe. Hii ina maana average ya nyota katika galaxi moja [galaxi ziko aina tofauti na size tofauti, ndogo (dwarf galaxies) zinaweza kuwa na maelfu ya nyota kwa kila moja na zile kubwa kabisa (giant elliptical galaxies) zinakuwa na kuanzia trillioni moja mpaka trillioni mia moja kwa kila galaxi], eneo la universe ambalo ni miaka 13.8 bilioni ya mwendo wa mwanga,(Mwanga husafiri kwa mwendo wa kasi kuliko mwendo wa kitu kingine chochote tunachokijua. Kwa mfano katika sekunde moja mwanga unasafiri umbali wa kuzunguka dunia mara saba.) kadirio la idadi ya galaxi ambazo ni zaidi ya bilioni 100 na kwa makadirio ya karibuni ni galaxi 170 bilioni katika observable universe.
Kwa lugha ngumu itabidi niweke calculations za wataalam hao jinsi walivyokokotoa hizi approximation. Sijui hii inatosha?
NB:Lakini pia inawezekana universe ni kubwa maradufu ya hiyo tunayoweza kupima au pia inawezekana haina ukomo (infinite).
Mkuu NICOLAX hayo niliyoandika kwa uchache hakika ni maeneo mazito ya utafiti na makubwa haswa, ili niwe specific we kuwa huru tu uliza kipengele kimoja au kitu kimoja-kimoja tu nami nitajitahidi kufafanua.
Sawa mkuu basi tuendelee
Huko nyuma kwenye mabandiko kadhaa kwenye maada zilizo pita uliniahidi kua utakuja na ishu ya "possible intelligence" and "ROSSWELL INCIDENT" please mkuu naomba unielezee hii kitu ya pili(roswell incident) ni nini hasa?
.made in mby city.
Monstgala nina swali dogo sana kuhusu aliens.samahani kama nitakuwa nje ya mada.kuna tetesi kuwa kwa miaka mingi taasisi za kijasui za mataifa makubwa zimekuwa zikifanya tafiti kuhusu aliens na hata kushirikiana na viumbe hao.je kuna ushirikiano huo kati ya binadamu na aliens,emewahi kuleta manufua ya teknolojia kwa wanadamu au hasara?
brother Monstgala hongera na asante sana kwa uchambuzi wako yakinifu juu ya maswala ya anga,galaxy and UFO.binafsi najivunia sana hapa jf kuwa na mtz mwenye kipawa cha hali juu kuyaeleza mambo haya ya kisayansi yaliyo jificha,kwa lugha nyepesi ya kiswahili.nina hakika elimu hii labda hata vyuoni maprofesa hawaifundishi.niruhisu nimtag /nimualike rafiki yangu lawmaina78 toka kenya aje aongeze maarifa na kuuliza maswali pale itakapo bidi.
Angalau nime gain kitu hapo
Mkuu kwa jinsi nilivyosoma maelezo yako inaonyesha wazi kuwa wewe ni mmoja kati ya sisi tunao amini kuwa kuna viumbe wanaoshi anga za mbali
Sasa mkuu kutokana, na peruzi zako, kusoma, kuambiwa, kusikia, kutafiti n.k.
Je umeweza kupata feedback yoyote kuhusiana na hawa ndugu waishio anga za mbali katika ulimwengu wetu?
Nikimaanisha tabia zao, maendeleo, tamaduni, lugha, maumbo, n.k.
Natanguliza shukrani mkuu wangu
.made in mby city.
If you come to me with evidence that there is god, how should I respond?The only intelligent life out of this world is of God and I can prove it to you.
Mkuu kwa kuwa umeuliza mtazamo wangu binafsi kuhusu vyote vilivyopo (nadhani universe kwa ujumla wake) ni wazi mimi nasimamia kwenye nguvu zaidi ya universe ndio iliyo nyuma ya kila kitu kilichopo ila sina asilimia maana hakuna utafiti niliousoma wenye maudhui ya asilimia katika hili.
Why are you whining?If you come to me with evidence that there is god, how should I respond?
a)Start going to church every sunday?
b)Learn meditation so that I can can contact god myself?
c)study the evidence, and if it seems compelling, then try to figure out what sort of god this is?
If you said c), you are my type.
If you said b), I will ask you why you want me to be in contact and worship a god I dont know?
If you said a) then I am curious to know why you think I should leap to the conclusio that the evidence will favor a christian god?
Now let me warn you, be carefull how you answer, this is not areligious topic, we are disscusing aliens and UFO, you will have to be conscious not to spoil our topic, if you start insults i will report abuse.
For you Monstgala, thanks for your knlwledge about aliens and UFO's,I am currently reading IF GOD WERE A SPACE ALIEN, ADIFFERENT KIND OF ATHEISM, it is actually talking about UFO's and aliens, I am getting the same explainations, without your introduction, I would have grasped nothing from the book!
Na nilijua tu utashupalia "God" na "god" badala ya kujibu hoja, kwa sababu huna hoja.Why are you whining?
I am not talking about a diabolical "a god" but The God. Your "a god" is dead and I don't care about him/her. When you talk to me you need to grow up.
Na nilijua tu utashupalia "God" na "god" badala ya kujibu hoja, kwa sababu huna hoja.
Nilishawahi kusema kuwa bilievers can not manage any intellectual argument, because, most of them are not intelligent.
Sorry, so long!!
Kama kuna kitu nawapendea baadhi ya Watanzania, ni uwezo wa kuchambua mambo magumu kwa matumizi ya Kiswahili. Kuna jamaa yangu moja Bongo, mjaluo ila wale wa Musoma. Yule jamaa aliniwezesha kuelewa issue fulani kwenye fani yangu, kwa muda nilikua natatizika sana na hiyo concept. Baada ya kujuana naye, yaani alinipeleka taratibu hadi nikaelewa neno kwa neno.
Hawa ndio watu hufanya nakua na matumaini na Kiswahili. Fani yangu ya software engineering Kiswahili huwa hakina umaarufu, lakini huwa najaribu sana kukihusisha.
Haya sasa niingie kwenye mada, hivi huwa kuna uvumi kwamba Marekani wamehifadhi UFO fulani ilioanguka humu, ipo ndani ya area 51.