Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
JAMANI HUKU BONGO NI USIKU SAA HIZI NAWAHI MSONDO NGOMA KUONA WANANCHI WAKIONYESHA TALENTS ZAO ZA SANAA, HA! HA! HA! USIKU MWEMA WENGINE SIWEZI KUWAJIBU MAANA HOJA ZENU HAZINA MASHIKO KABISAA, WENGINE MNAKUWA KAMA WATOTO WA CHEKECHEA BANA, HA1 HA! HA!
William.
Wakati wewe unaweza kwenda msondo ngoma kwa starehe, unawaambia watu wenye shida Wanakuwa kama watoto na wana argument za chekechea.
Halafu unacheka in capital letters, without saying " in a light touch", ni kukebehi na kudharau mamilioni ya watanzania wenye njaa, watanzania Wanaokufa na malaria, wakina mama wanaolala chini mawodini, wanaojifungua wakiwa wamesimama, watanzania wanaoshindwa kusomesha watoto wao vyuo vikuu kwa fedha za serikali, watoto wanaosoma kwenye vumbi shule za msingi, waalimu wasiolipwa, waganga wanaozalisha bila gloves, wakulima wanaokopwa mazao yao, wananchi wasio na maji salama, wazee wa Jumuiya ya afrika mashariki wanaodai haki zao.
Usidhani kuwa wote waliotajwa hapo juu na wengineo wote hawapendi kwenda msondo ngoma, hawana uwezo William.