Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Nafahamu CDM inampatia katibu mkuu W. Slaa maslahi sawa na ya mbunge. Hii ni kutokana na makubaliano yaliyopelekea Slaa kuachana na ubunge na kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyang'anyiro cha urais 2010.
Ikiwa sasa kuna harakati za wabunge kujiongezea posho/marupurupu, je hii nayo itaenda automatically kwa Slaa pia?
Ikiwa sasa kuna harakati za wabunge kujiongezea posho/marupurupu, je hii nayo itaenda automatically kwa Slaa pia?