Mkali wa Leo
Member
- May 27, 2011
- 85
- 3
watanzania mshazoea mnachotaka ndo kiongozi afanye wakati mwingine kiongozi anapaswa afanye maamuzi.hakuna ubaya alioufanya pinda km unawaza mbali.
mbali wapi??????we ushawahi pewa hela na mbunge wako????hao wanaowaomba ni wapambe wao waliowawezesha kuingia mjengoni au makuwadi wao wanaowatafutia wanawakeewatanzania mshazoea mnachotaka ndo kiongozi afanye wakati mwingine kiongozi anapaswa afanye maamuzi.hakuna ubaya alioufanya pinda km unawaza mbali.
watanzania mshazoea mnachotaka ndo kiongozi afanye wakati mwingine kiongozi anapaswa afanye maamuzi.hakuna ubaya alioufanya pinda km unawaza mbali.