Pornography?

Pornography?

Kwenye Green nimekuelewa!
Kwenye red kwa namna tunavyoheshimiana hukupaswa kuniunganisha huko kwani hakuna mahali nimeonyesha nami naziangalia au ni mnufaika wala kuwatetea watu si kuwa wanakuhusu!
kwenye blue nakushauri usivunje utaratibu kisa yeye kavunja maana anayekuwa wa mwisho kuvunja ndio sisi tunamwangalia!
Kwenye yellow mimi lawama kubwa nimekurushia baada ya kuona ulimfanyia kusudi na nukuu "Madama "OOoohh jamani, hayo manini tena funga basi na wewe, jamani mambo mengine muangalie basi".

Mie nikajifanya niko busy na simu, mara bahati nzuri kuna jamaa kanipigia nikatoka nje kupokea, nikawa naongea halafu nazidi kusogea mbali na tulipokuwa (nilitaka niende mbali zaidi ili nikacheke). Kadri nilivyosogea mbali nilifunguka kwa kicheko, njiani nikakutana na jamaa yangu mwingine anakuja ofisini, nikampa mkanda kwa ufupi halafu naye akawa ancheka."

Ehm jitasimini mwenyewe Mkuu kwa maneno yako hayo ambayo si mimi ni meyasema ila wewe!
Kwenye zambarau Hakuna mahali nimeelezea hasara japo kuwa najua zipo tena nyingi tu nakupa evidence ya hizo tafuta kupitia Pornography has its benefits - On Line Opinion - 29/9/2006 na Pornography May Have Postive Social Benefits, So Don't Ban It | Smoke & Stir... pamoja na hii hapa The Pros and Cons of Pornography « Phil for Humanity Hapa pia hukupaswa ndugu yangu kuniona kama adui na kwenda mbali unahitaji tarifa za tafiti humwamini mtu sasa mpaka usikie Marekani wametafiti kwani kwafikra za kawaida huwezi pata majibu kwa kujiuliza hadi hujui kama kunawatu wanazinunua na wapo wanao ziuza hadi tafiti!!!
Mwisho mimi si shabiki wala sinunui na kubeba kama unavyo dhani niondoe kwenye hilo kundi kama nilivyosema hakuna mahali nimejihusisha kwa maandishi! Nadhani nimeeleweka Mkuu!!!!!!!!!

Sawa mkuu, lakini kwa sasa nitaendelea na hilo zoezi la kuscan disks na kama zina porn videos nadelete.
 
hivi wote wanaofanya hivi hawakufundishwa na wazazi wao ee?

Mara nyingi wanakuwa wamepata malezi ya kuungaunga, lakini pia wapo wachache wanaoamua kupotoka wenyewe kwa makusudi.
 
Kama inakamata keywords zilizopo kwenye file mkuu mbona kuna probability ya 50% kua haikua movie ya ngono maana file mtu anaweza akaandika hata xxx labda kama hiyo haipo kwenye keyword yako, kwani ukiita file ambalo linahusika na data za waangalia porn umri flani hadi flani si anaweza akalipa title ya porn afu ngoma ikaleta message hiyohiyo tu

Key words zinazotumika mkuu ni probable encrypted/coded information associated with video/image/object, sio WYSIWYG.
 
lovito we acha tu...kuna hiyo njia yaa kuname ma file umeisema

na mie naifanyaga..lakin kuna wengine hawakatagi tamaa atafungua tu

ajue hilo empty ni empty kweli
mimi49 njoo rafiki yetu anapotea hivihivi tunamwangalia!
 
Last edited by a moderator:
Key words zinazotumika mkuu ni probable encrypted/coded information associated with video/image/object, sio WYSIWYG.
Em nipe somo mkuu, nimecapture video kwa kutumia IDM mfano, probability ya ile kua na encycrypted info ni kazi kidogo, unless ni kwa video files original au nimefanya screenshot ya picha then nikaifanya JPG say kwa photoshop, pale encycrypted info najua sanasana itakua imetoka kwenye software gani n such stuffs, sasa em nijulishe kama kuna sehemu kwenda deep zaidi kudecect kama kuna info unaweza kupata inayoashiria hiyo movie ni porn, hiyo computer akili imetoa wapi kujua hiyo ni porn huku ktu karekodi kwa simu au simu ukirekodi inajua kua huyu anarecord porn? na yenyewe ina encryption yake automatic au? hahaha ni kama unasema computer ina akili vile, ingekua WYSIWYG ningesema angalau unajatibu ku capture za juu juu, au ungeniambia ni original videos za porn maana hua zina encryption ndani ila hizi zilizotupiwa kwenye site ovyoovyo sidhani mkuu.. Labda kama wewe una ujuzi wa zaidi ya hapo unipe mfano ni encryption gani hiyo na iko wapi
 
Haya ni mapenzi, uzinzi, uasherati au kitu gani?Ni mara ya tatu kukutana na huu msala wa watu kubeba picha na video za ngono kwenye flash derives zao. Wa kwanza alikuwa kavulana fulani, nilikachimba mkwara nikakaambia nenda zako usirudie tena kubeba uchafu huo kwenye flash disk yako. Mwingine alikuwa ni mdada anafanyia kazi bank, nakumbuka alinitext "Hivi unanichukuliaje kunikuta nimebeba hizo picha?". Nilimjibu "utakuwa unatumia bundle kubwa sana, au tigo wanakupa bure nini, maana niliona picha zao pia!"Wa tatu bosi wangu tena mwanamke. Issue iko hivi:Laptop yangu nimeifanyia configuration kudetect malware (including porn videos and photos, kwa kutumia possible key words zinazoweza kuwepo kwenye source files, hapa kwa kawaida ni metadata au links zilikodownlodiwa), na ikidetect nimeiset kufungua folder lenye haya mavitu kwa kupoup, huku ikidispaly message:"Wicked files detected, they are subject to deletion in few seconds, this decision is not negotiable and cannot be undone", hiyo ni warning message yangu.Sasa siku moja asubuhi na mapema bosi wangu akaja anakimbiakimbia, namheshimu, dah "tafadhali naomba unisaidie kuna hizi data hapa nimehangaika nazo kweli, nataka kuzifanyia statistical analysis, ngoja nikuletee flash uhamishe na kufanyia kwenye laptop yako". Akanieleza kwa kifupi nimsaidie kuzifanya nini, halafu fasta kaenda ofisini kwake kuleta flash (ngo ngo ngo ...., kelele zilizofanywa na high heels zake).Kuichomeka flash kwenye port hivi (sikutegemea kabisa kama huyu madam angebeba hayo madude kwenye flash), duh, OoOOOoOOOps! Folder limefunguka (amelipa jina "Personal Data") huku laptop ikidisplay hiyo message "Wicked files .....". Madama "OOoohh jamani, hayo manini tena funga basi na wewe, jamani mambo mengine muangalie basi". Mie nikajifanya niko busy na simu, mara bahati nzuri kuna jamaa kanipigia nikatoka nje kupokea, nikawa naongea halafu nazidi kusogea mbali na tulipokuwa (nilitaka niende mbali zaidi ili nikacheke). Kadri nilivyosogea mbali nilifunguka kwa kicheko, njiani nikakutana na jamaa yangu mwingine anakuja ofisini, nikampa mkanda kwa ufupi halafu naye akawa ancheka. Ikabidi nimwambie tafadhali tuliza mzuka maana utaua bendi. Jamaa alishindwa kabisa kuacha kucheka, ilibidi tusiende ofisini muda ule, tukaamua kwenda kutafuta breakfast kwanza kwenye mgahawa fulani upo karibu na sehemu ya kazi.Nilirudi kwa kunyata, nikakuta laptop yangu imetolewa battery halafu wala haijarudihshiwa (atakuwa alishindwa kuizima, maana, nilivyokuwa nimeiset asingeweza kucancel au kuswitch off mpaka imalize kudelete). Wakati nafikiria kwenda kumwuuliza secretary kama bosi yupo, bahati nzuri vuuuuuu, secretary kaingia ofisini kwetu "mmemfanya nini bosi mbona kakasirika hivi leo?". ikamwuuliza yupo? Akaniambia kaondoka amesema kapata dharura, nikasema afadhali!Ilikuwa Ijumaa iliyopita. Jumanne - kesho kutwa najua ataniita, na mie siku hiyo nitafika ofisini asubuhi sana ili kama atakuwa amefika tuyamalize kabisaa! Nitamwambia hiyo flash yako usiwe unawapa watoto maana watoto wa siku hizi ni watundu sana wanaweza kujaza vitu ilimradi tu. Kuhusu ilivyopopup, nitamwambia kuna watu wamefanya uhuni wameiwekea flash software ili ukiichomeka kwenye usb port inafunguka automatically na kuiambia computer ifute baadhi ya mafaili!Yaani majibu au kujitetea kwangu itakuwa ni full drama kutegemea na upepo na mood yake kuhusu hilo tukio.Dunia ina mambo sikutegemea kabisa huyo mdada/madam kuwa na hizo movies kwenye flash. Kutokana na nilichokishuhudia juzi, jana niliamua kubadilisha signature yangu ya Jf na kutoa ujumbe kama unavyouona hapo chini.Please Jf members "Say no to wicked things on your eyes!".

Unalalaaama kama hutumii si wewe bana ,usituvurugie utaratibu wetu!
 
Em nipe somo mkuu, nimecapture video kwa kutumia IDM mfano, probability ya ile kua na encycrypted info ni kazi kidogo, unless ni kwa video files original au nimefanya screenshot ya picha then nikaifanya JPG say kwa photoshop, pale encycrypted info najua sanasana itakua imetoka kwenye software gani n such stuffs, sasa em nijulishe kama kuna sehemu kwenda deep zaidi kudecect kama kuna info unaweza kupata inayoashiria hiyo movie ni porn, hiyo computer akili imetoa wapi kujua hiyo ni porn huku ktu karekodi kwa simu au simu ukirekodi inajua kua huyu anarecord porn? na yenyewe ina encryption yake automatic au? hahaha ni kama unasema computer ina akili vile, ingekua WYSIWYG ningesema angalau unajatibu ku capture za juu juu, au ungeniambia ni original videos za porn maana hua zina encryption ndani ila hizi zilizotupiwa kwenye site ovyoovyo sidhani mkuu.. Labda kama wewe una ujuzi wa zaidi ya hapo unipe mfano ni encryption gani hiyo na iko wapi

Sio video ambayo ni recorded, hapa nilikuwa naongelea video ambazo ni downloaded from internet, kuna kitu kinaitwa data about data - metadata. All in all lazima, utengeneze script/code au utumie ready made tool inayofanya hiyo detection.

Metadata: Metadata - Wikipedia, the free encyclopedia

Mkuu kama umeishi kijijini hasa ukiwa mdogo, na ulijihusisha na uwindaji wa wanyama hasa wale wanaokamata kuku, bila shaka ulikuwa na skills za kumtrack huyo mnyama, and you could even tell kama huyo mnyama aliingia kwenye shimo fulani na kukaa humo au kutoka, hata kukadria na muda aliokuwepo hapo - kwa hiyo hii script ni mwendelezo wa hiyo idea.
 
uzembe sana kukutwa na video za porn kwenye computer,mi huwa na-lock kabisa file ya porn nimei-name "kwaya".
nani atahangaika files zote afungue asikilize kwaya wakati kuna series na movies au comedy

Jamaa yangu Ye kaweka jina la mkukuta, mwingine katiba mpya
 
lara 1 ni ufoo nini, mbona haonekani tangu tukio?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom