Kwanza si tabia nzuri hata kidogo kuwa na software ya ku -detect na kudelete mafile ya aina hiyo bila preinformation kwa mhusika kwani hapa duniani watu wana vitu ambavyo ni:- 1. public 2. private 3. protected
unapo nunua au tengeneza software lazima ujue faida na hasara yake pia lengo la msingi la kuwa nayo! sasa hiyo yako sioni faida yake baadala ya umbeya wa kuchunguza vitu vya ndani vya watu!
Mungu tu katuumba na kutufanya tusijue huyu anafikiria nini yani kaweka siri baina yetu na kampa maamzi binadamu mwenyewe kwa hiari yake kumfuata au kumkataa sasa wewe hiyo software yako uliiweka kwa faida ipi!
wenzenu nchi zilizoendelea wanatengeneza software za kimaendeleo wewe unahangaika na udaku alafu unajisifu! nani sasa mkamilifu
Faida za pornographic katika jamii
1. hupunguza ubakaji
2.reduce social violece
3. kumfanya mtu awe na mhemko wa kufanya mapenzi (kuna watu akitazama ndio anapata mwasha washa)
4. huwaingizia watu kipato(ujira)
Faida za picha za uchi
1. Huokoa gharama na maisha ya mgonjwa
2.Kumfariji mwenzio unapokuwa mbali naye
Na faida nyingine kede kede sasa mtu ameandika Personal na unajua anamaana gani unakuwa na software inafungua! kuna watu wanajipiga picha za sehemu za siri wanatuma kwa madakitari kama ana tatizo la ugonjwa unao husiana na sehemu hizo mfano fangasi,kaswende,kisonono n.k kushauriwa na pengine kupunguza ghalama mfano kama ni India au uko mkoa badala ya kuja Dar unatuma picha wanacheki wakiona unatibika wanakuita kuliko unge anza safari ufike kule ukikuta hautibiki au wangeweza hata kukutumia dawa tu na wewe unapoteza fedha nyingi kwa nauli,kula na malazi sasa limtu kama wewe unatengeneza software ya kufungua siri kama hizo with no faida kwako wala kwa aliye kuletea!
Jitafakarini kwanza unafikiri kwa ulicho kifanya kama ninge kuwa mimi ndio boss wako pasipokuangalia how resourceful are u katika kampuni sikuachi hapo kazini labda ofisi ya serikali, sijui hata ethics za professional zenu hamjifunzi duh?
Wewe kama mtoa huduma katika hiyo office unafikiri una faida tena na hiyo office? unadhani boss wako atahitaji tena hiyo huduma yako? kama unajua software yako ni muhimu basi weka tangazo au mwambie mtu kama una picha, video za siri humu please zitafunguka! ndio maana boss wako akaandika personal akijua professionalized person hawezi fungua! hizo ajira za shangazi mjomba ndio madhara yake ngoja muwakomeshe si ndivyo wanataka!
Kazi ni pamoja na client wako kufurahia huduma yako, unge mpa tahadhari kwanza, ange kweleza humu labda ninazo basi unaweza zifuta au la! unafikiri wewe hapo ulipo siri zako tukifunguliwa hapa tuzione si itakua balaa! Be smart Unajua kwanza matarajio ya mwajili wako katika ofisi siku anakuajili ni yapi au unafikiri ulilofanya ni moja wapo! nyie ndio mnafanya wasitaafu wanaongezewa mikataba ya kufanya kazi vijana wanakosa ajira, mnasababisha ukitafuta kazi wanataka uzoefu kwanza! Sijafurahishwa na tabia yako tena ulipo mcheka boss wako makusudi bila kumtaka radhi na pengine kuzima laptop!!!!!!!!