Mentor,
Ukija Arusha nenda Apache wanatengeza mdudu wa ukweli nakwambia unaweza kuhamia Arusha jamaa wako juu sana.Mwenzako kila jumapili mida ya mchana utanikuta natwanga mdudu na Gordons za kufa mtu.Apache iko mitaa ya Ricks Club unaingia ndani kidogo unapinda mkono wa kushoto unakwenda umbali wa mita 100 unakata kulia mjomba nina hakika hujawahi tafuna mbuzi katoliki wa ukweli.
Duh nasikitika machalii wa Arusha wanaweza kuvamia anga zangu mdudu akapandishwa bei.Unajua tena law of supply and demand inaweza kuapply.
Mkuu kumbe tunakuwaga pande moja lakini hatusomani! Vipi kitu cha Latavena umeshajaribu? Nacho sio cha kitoto.
Mkuu itabidi nikutafute mdudu lazima atafunwe.Hiyo Latavena iko wapi ?.
Kuna mama mmoja wa Mbagala huwa ana-imporrt toka kusini mwa Tz, ukini-PM nitakujalia nambari yake ya kiganjani (Usimtie nguvuni lakini,anatutoa sana hapa mjini)Wakuu, mimi natafuta kitimoto pori. Anayejua inakopatikana anijulishe tafadhali. Napenda sana ile kitu
did u jus xay Mbagala!!!???Kuna mama mmoja wa Mbagala huwa ana-imporrt toka kusini mwa Tz, ukini-PM nitakujalia nambari yake ya kiganjani (Usimtie nguvuni lakini,anatutoa sana hapa mjini)
M[FONT=times new roman said:[/FONT]zeePunch;2281139]Wakuu, mimi natafuta kitimoto pori. Anayejua inakopatikana anijulishe tafadhali. Napenda sana ile kitu
Poa,kongoro la kitimoto linapanda?Huko huko utapata.did u jus xay Mbagala!!!???
si ndo nyumbani uko...nifowadie ha numbe tasavali...
Cheki na Faiza-Fox anapendelea sana hiyo kitu but in confidenceWadau,
mwisho wa mwezi huu nina mpango wa kusafiri sehemu ambapo hakuna hiyo kitu.
Ninahitaji sehemu hapa dar...affordable... ambapo nitaenda nile kitimoto weeee..mpaka hamu iniishe.
Tafadhali ushauri...
Natanguliza shukrani.
↲ .... Na zote hygine yake si nzuri!Banana Ukonga, pale utasuuzika na roho yako. Maana kuna bar kama 400 na zote zina kitimoto
Dah! Tulikua na mpango wa kukukaribisha over the weekend na shemejio.... naona nimeahirisha sasa...