Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Najua ulikua hujui jambo hili,sio wewe tu,bali wengi hawajui.Ni kwamba sio binadamu peke yake ambae anajihusisha na vitendo vya ushoga au usagaji.Wanyama nao kuna baadhi wana tabia hiyo,popo ndo wana idadi kubwa ya mashoga kuliko kundi lolote la wanyama.Popo wengi wa kiume ni mashoga kuliko wale wasio mashoga.Hii ni siri yako.Usimwambie mtu ambae hajafikisha umri wa miaka 18!!