Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
Design yote umeiona?unaweza ukawa unazungumza kitu usichokijua engineers sio wajinga kama unavyofikili.
Wabongo kujifanya wajuaji mradi hujaisha unajifanya kuleta ujuaji why usingejenga wewe unafikiri kua Hawa wa Austria kujenga BRT WALIPEWA KAMA MNAVYOPEANA NAMBA ZA SIM NA MADEM CLUB....[/ Hawa wa Austria ]
Mkuu; Rekebisha maneno haya kwani Austria haihusika najua mkandarasi ni Mjerumani na Mhandisi Mwelekezi (Supervising Engineer)anatoka Australia.
Jamaa anetoa wasiwasiwake ni haki yake
Mimi najiuliza hilo gari kasi ikipungua au kuharibika mengine yatapita wapi au litapark wapi kubadilisha tyre.sipati picha. Foleni ya magari ya kasi itakavyokua moja likiharibika sababu barabara ina size ya gari moja.
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
kibaya mkuu sikonge ni kutoacha sehemu za kuingia high way, mfano ubungo hadi kimara ni kero kubwa kwani sehemu karibu zote zimezibwa na zitazibwa. Na kinachouma zaidi ni kuona serikali haitengezi barabara mpya inang'oa lami na kuweka ingine kwenye the same roads!!!
tunahitaji flyovers na ring roads na sio utoto kama huu wa brt.
Mimi najiuliza hilo gari kasi ikipungua au kuharibika mengine yatapita wapi au litapark wapi kubadilisha tyre.sipati picha. Foleni ya magari ya kasi itakavyokua moja likiharibika sababu barabara ina size ya gari moja.
Ni kawaida sana kuweka UKUTA na kama wasingeliweka, mlikuwa na HAKI ya kuandamana na kudai waweke.
Yakianza kwenda magari kwa mwendo kasi, ndiyo utajua maana ya hizo kuta. Ila mnaweza kuomba wawawekee za Plastic ili muweze kuona magari YETU MAFISADI yakipita barabarani.....
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!