Poor people need to unite too

Poor people need to unite too

Hapa sasa nimeelewa hongera sasa inabidi tuongezee mwengine ili mtoto achangamke apate na mwenzie wa kucheza nae
Kama una mbegu nzuri njooooo,
Uwe mrefu, chocolate color, mbegu utazitoa uweke kwenye kikontena sisi ndio tutajua tunazifanyaje😬
 
Bado sijawa single mama, mtoto wetu ana mama wawili basi ni mumy mumyyy hua tunajiuliza anajua mama ake wa kumzaa ni yupi? ila ana enjoy ndio kikubwa
Life likikuvuruga, many of us kimbilio letu ni nyumbani.
Ukishakua mtu mzima una wajibika kutengeneza "nyumbani" kwa watoto wako pia.
At certain point in life, they will need it.
 
Mwenzio anatafuta namna ya kuzamisha namna gani🤣
Ndio maana nimempa kabisa maelekezo, mbegu ataweka kwenye kikontena, asije akafakamia makaranga na michuzi ya pweza akaumbuka🤣🤣
 
Life likikuvuruga, many of us kimbilio letu ni nyumbani.
Ukishakua mtu mzima una wajibika kutengeneza "nyumbani" kwa watoto wako pia.
At certain point in life, they will need it.
Maneno ya busara sana haya, nitayazingatia, shukranišŸ™
 
Back
Top Bottom