Achana na ya kujisaidia barabarani, unajiabisha unapokuwa kijibwa cha Gadner na ukiona kasemwa unakuja juu, nini maana ya JF kuwa na page ya celebrities. Tuige mifano bora kwa wenzetu......BADILIKA, KUBALI UMECHEMSHA.
huu sasa ni umbeya na si kitu kizuri kwa m/ume. Achana na maisha ya watu facebook kitu gani mpka ukae unatoa mishipa ya shingo kushadadia na kutuletea hapa JFKwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
miss u Nyamayao kumbe na huku kwa celebrities unakatizaga?huu ni umbea na uchonganishi!
Ndo shida ya mwanaume kukubali kuolewa hiyo...
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
wewe vipi ? Yani mwanaume kaolewa kwani yeye bwbw. Kuwa na busara gadner kaowa tena kamuoa jd au?
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
huu ni umbea na uchonganishi!
huu ni umbea na uchonganishi!
bora bielezee Nyamayao
miss u Nyamayao kumbe na huku kwa celebrities unakatizaga?
What then is the use of the celebrity forum, hebu tujifunze kuwa kama wazungu, kama huna cha kuchangia unachungulia na kusepa. Hii ni forum sio majungu, wewe ni premium member lakini mshamba.
Gardner ni mwizi, anazuga tu