Ukitembea uchi barabarani huku umevaa chupi kichwani watu wakakucheka .kukuzomea na kukurushia mawe. Ghafla ukarudi nyumbani ukavaa nguo na kurudi barabarani je unastahili kuomba kupongezwa na waliokucheka? Ccm shame on yuo and you will be responsible.for the killing of mtwara immocent peoplekama wamekubaliana gesi haitoki mtwara hapo sawa ila vinginevyo ni upuuzi mtupu..
But there's a blood there,open Ur macho bana.Kwa nn kusubiri dam???Historia imeandikwa leo Mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana Mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka CCM ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la Mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani Mtwara na mikoa ya Kusini kwa ujumla. Poleni upepo umeshabadilika CCM bado ni changuo la mikoa ya Kusini.
Twashukuru hatimaye wana Mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya Mtwara na Lindi.
historia imeandikwa leo mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka ccm ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani mtwara na mikoa ya kusini kwa ujumla. Poleni upepo umeshabadilika ccm bado ni changuo la mikoa ya kusini.
Twashukuru hatimaye wana mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya mtwara na lindi.
mkuuthe big show
hebu njoo utueleze kama huyu mleta hoja anasema ukweli. Ni kweli mmeyamaliza na magamba?
hakuna kitu kama hicho,pinda ni kama amekuja kuchochea kuni mbichi tuh jikoni,,
hali imezid kuwa mbaya zaid,,
na kwa hakika mmezid kujitia kwenye hasara zaid
kama una bisha subiri uone uhalisia ulivyo..
naona kichwa ulipewa kufigia nywele yaani hata haufikirii hata kidogo wala kukumbuka wananchi wenzetu waliopoteza maisha yao juu ya hili suala la gesi! pole sanaHistoria imeandikwa leo Mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana Mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka CCM ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la Mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani Mtwara na mikoa ya Kusini kwa ujumla. Poleni upepo umeshabadilika CCM bado ni changuo la mikoa ya Kusini.
Twashukuru hatimaye wana Mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya Mtwara na Lindi.
Sasa kaanza kuweweseka na anashauri tume ya bunge isiundwe kwa nini??
Acha hiyo tume ije mjionee uozo wa wazi wazi na ulimbuken wa pinda,
hiyo tume ya bunge itahusisha akina nani?
Historia imeandikwa leo Mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana Mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka CCM ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la Mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani Mtwara na mikoa ya Kusini kwa ujumla. Poleni upepo umeshabadilika CCM bado ni changuo la mikoa ya Kusini.
Twashukuru hatimaye wana Mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya Mtwara na Lindi.
hakuna kitu kama hicho,pinda ni kama amekuja kuchochea kuni mbichi tuh jikoni,,
hali imezid kuwa mbaya zaid,,
na kwa hakika mmezid kujitia kwenye hasara zaid
kama una bisha subiri uone uhalisia ulivyo..
Historia imeandikwa leo Mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana Mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka CCM ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la Mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani Mtwara na mikoa ya Kusini kwa ujumla. Poleni upepo umeshabadilika CCM bado ni changuo la mikoa ya Kusini.
Twashukuru hatimaye wana Mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya Mtwara na Lindi.
umeongea ukweli mtupu lakini umenichefua na hilo neno kwenye red.
Hata mimi sikupenda siasa kuingizwa kwenye mambo yenye maslahi ya kitaifa lkn hiyo haikumaanisha naiunga mkono ccm. Kwangu mimi ccm ni janga na ulimwengu unapaswa kufahamu hivyo, lkn linapokuja suala la maendeleo ya nchi nitaunga mkono.
Naomba nikusahihishe kuwa, wanamtwara waliongea na pinda & co kama viongozi kutoka serikalini na sio viongozi wa ccm. Kile hakikuwa kikao cha chama chenu 'kinukafu' chenye kutia kichefuchefu kwa rushwa na ubadhirifu.
uzalendo kwanza!
uchaguzi umefanyika lini???hayo makubaliano mmeshatekeleza???unajua kama pinda ni bingwa kwa kuhairisha migogoro??kama unafikiri ccm iko salama kusini subiri kishindo kikubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1historia imeandikwa leo mtwara kwa kitendo ya pande mbili kufukia mashimo na kufikia muafaka wa kusahau yaliyopita kwa kuanza ukurasa mpya wa kusameheana kuanza harakati za kujenga nchi yetu. Kuna wati hapa jamvini walitegemea muafaka hautafikiwa ili wanufaike kisiasa, hongereni wana mtwara kwa kuweka mbele utaifa pamoja na kuheshimu viongozi kutoka ccm ambao mliwapa kura za kishindo.
Funzo liwafikie viongozi wa vyama vya upinzani ambao mlitumia suala la mtwara (gesi) kujiimarisha kisiasa mkoani mtwara na mikoa ya kusini kwa ujumla. poleni upepo umeshabadilika ccm bado ni changuo la mikoa ya kusini.
twashukuru hatimaye wana mtwara wamepata ukweli kuwa serikali yao inawajali, inawapenda na ina nia nzuri kwa manufaa ya mtwara na lindi.