Sitaki kuamini kwamba Tuzo hizi zina upendelea.
Naamini kwamba tuzo zimetokana na jitihada binafsi za washiriki.
Binafsi ningependa kuwapa Pongezi za kutosha kwa viongozi wote wa #TeamKiba .
Ukienda kinyume na wema lazima akugalagaze chezea team Ivan na Lawrence.
Kwani wewe ulipiga kura? Maana tusiulizane kumbe hata kura hatujapiga!...Fid kukosa tuzo haijawagusa?
Fid kukosa tuzo haijawagusa?
Fid kukosa tuzo haijawagusa?
Fid kukosa tuzo haijawagusa?
Naaam.zimeenda kwa aliestahili zaidi yake,hapo hakuna ubishi.