Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,437
- 2,158
Yupo vizuri sn
That's true na ndio yaliyompa followers wengi insta japo watu wenye heshima zao(madingi & mamama) ilikuwa vigumu kumuelewa lakini naona sasa anaeleweka tena kwa kasi ata zile tambo za kumponda zimeshuka.Yale matusi anayotukana ndo yaliyompa umaarufu, na ndo u unique wake ambao Madada wengine hatuwezi kufanya
Unawashauri nin mkuu?Hii michango nanishangaza saana mimi?sishangawi na huyu dada na ushawishi wake,nashangazwa na wanaochanga?je zitafikia lengo?naona utapeli hapa,watanzania 500 wakichangia 1000 moja tu ni pesa kiasi hicho,je ni za matibabu tu ya lissu,au ni dili la makengeza?
Mkuu we unamjua makomeo?Mkuu una mkojo wa kutosha?
Hujalazimishwa kuchanga waache wenye pesa na malengo yao wafanye hivyo wewe soma na usepe.Hii michango nanishangaza saana mimi?sishangawi na huyu dada na ushawishi wake,nashangazwa na wanaochanga?je zitafikia lengo?naona utapeli hapa,watanzania 500 wakichangia 1000 moja tu ni pesa kiasi hicho,je ni za matibabu tu ya lissu,au ni dili la makengeza?
Huyo yeye yake yamemshinda kutwa kumsema dai na zari,apambane na vibabu hko usa
Huyo yeye yake yamemshinda kutwa kumsema dai na zari,apambane na vibabu hko usa
Sisepi nasoma na nitachangia ninacho fikiria!wewe kama unazo changa.Wajinga ndio waliwao.Hujalazimishwa kuchanga waache wenye pesa na malengo yao wafanye hivyo wewe soma na usepe.
Asante ila mimi siyo mjinga najua ninachofanya na kwa ufahamisho NY inaongoza kwa michango.Sisepi nasoma na nitachangia ninacho fikiria!wewe kama unazo changa.Wajinga ndio waliwao.
Kama wameguswa wachange tu,lakini wasijekulalmika baadaye,mkuu watu milioni tano wakichanga buku buku ni shillingi ngapi?hapo nimeweka buku kwa maana ya kuwa wengine watachanga na wengine hawatachanga.watakao changa sio buku buku kwa hyo wale watakaochanga laki laki wanafidia wale wasio changa.We are talking of only 5 million Tanzanians!Be ware of this opportunist!Unawashauri nin mkuu?
Hakuna mahali niliposema msichange,swali unalolikwepa wewe mtu wa NY ni hili hapa.Asante ila mimi siyo mjinga najua ninachofanya na kwa ufahamisho NY inaongoza kwa michango.
Ukitaka kuchanga we Changa ukifikiria Negative kila siku hautaweza kupiga hatua ata kwenye maendeleo yako.Hakuna mahali niliposema msichange,swali unalolikwepa wewe mtu wa NY ni hili hapa.
Je hiyo pesa itafika kwa mgonjwa?je itatumika kwa matibabu yake tu?change inayobaki inaenda wapi?Nani atakayehifadhi hiyo balance?we are talking about big money.Mwana NY piga mahesabu watu milioni 5 wakitoa buku buku ni shilling ngapi?Natoa tu tahadhari kuna mtu kaona dili hapa shauri yako.Watu wametupiwa vitu nje au umesahau?