Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kiukweli Nilikuwa naona huyo dada wa IG MANGE KIMAMBI ni kama mdada flani hivi anayefanya mambo Pasi na kufikiria,
Sana sana nilivyokuwa naona hoja zake zenye mashiko lakini zikikosa huwasilishaji bora mpaka kufikia kutumia Matusi wakati wa huwasilishaji.
Nimegundua kitu kwa huyu dada wa IG, kiukweli tuseme au tuponde sawa lakini huyu bi dada wa Kuitwa MANGE KIMAMBI ana Ushawishi mkubwa sana ndani na ata kwa Watanzania waishio nje ya nchi ( Diaspora)
Hili Nimeliona kwenye kampeni anayoindesha huko instagram ya kuchangia mfuko(Fund) ya matibabu ya Mbunge Tundu Lissu.
Kiukweli mambo yako moto na watu wanachangia kwa Speed ya 4G.
Hapa nafikiri kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa huyu dada kiukweli ana ushawishi mkubwa sana kwa vijana.
Kama aliendesha kampeni ya kuangalia video ya Seduce me ya Alikiba na ikavunja Record huko You tube(Vevo) kwa kutazamwa sana sidhani kama hiyo kampeni haitafikia lengo .
Sana sana nilivyokuwa naona hoja zake zenye mashiko lakini zikikosa huwasilishaji bora mpaka kufikia kutumia Matusi wakati wa huwasilishaji.
Nimegundua kitu kwa huyu dada wa IG, kiukweli tuseme au tuponde sawa lakini huyu bi dada wa Kuitwa MANGE KIMAMBI ana Ushawishi mkubwa sana ndani na ata kwa Watanzania waishio nje ya nchi ( Diaspora)
Hili Nimeliona kwenye kampeni anayoindesha huko instagram ya kuchangia mfuko(Fund) ya matibabu ya Mbunge Tundu Lissu.
Kiukweli mambo yako moto na watu wanachangia kwa Speed ya 4G.
Hapa nafikiri kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa huyu dada kiukweli ana ushawishi mkubwa sana kwa vijana.
Kama aliendesha kampeni ya kuangalia video ya Seduce me ya Alikiba na ikavunja Record huko You tube(Vevo) kwa kutazamwa sana sidhani kama hiyo kampeni haitafikia lengo .