Pongezi kwake Mange Kimambi

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Kiukweli Nilikuwa naona huyo dada wa IG MANGE KIMAMBI ni kama mdada flani hivi anayefanya mambo Pasi na kufikiria,
Sana sana nilivyokuwa naona hoja zake zenye mashiko lakini zikikosa huwasilishaji bora mpaka kufikia kutumia Matusi wakati wa huwasilishaji.

0b74cdb488edea1a44668c4ea81662ac.jpg

Nimegundua kitu kwa huyu dada wa IG, kiukweli tuseme au tuponde sawa lakini huyu bi dada wa Kuitwa MANGE KIMAMBI ana Ushawishi mkubwa sana ndani na ata kwa Watanzania waishio nje ya nchi ( Diaspora)


Hili Nimeliona kwenye kampeni anayoindesha huko instagram ya kuchangia mfuko(Fund) ya matibabu ya Mbunge Tundu Lissu.
Kiukweli mambo yako moto na watu wanachangia kwa Speed ya 4G.
bf9a9009de9e75c67d40f5b23f2ad927.jpg

Hapa nafikiri kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa huyu dada kiukweli ana ushawishi mkubwa sana kwa vijana.

Kama aliendesha kampeni ya kuangalia video ya Seduce me ya Alikiba na ikavunja Record huko You tube(Vevo) kwa kutazamwa sana sidhani kama hiyo kampeni haitafikia lengo .
1b5ebe50505c5864e3f40b181b662bf6.jpg

c7f735ecbf8e3b4c4acb6f8204df6caf.jpg

4ff06e1b1efa188caf831169535897de.jpg

dd24302bcedc8f1057143923a8b8f26a.jpg

1a95c5053cc0b1775d3ee3bcbd8217cc.jpg

c9aa0d34130f116852b6a820efedac14.jpg
 
Hii michango inanishangaza saana mimi?sishangazwi na huyu dada na ushawishi wake,nashangazwa na wanaochanga?je zitafikia lengo?naona utapeli hapa,watanzania 5000000 wakichangia 1000 moja tu ni pesa kiasi hicho,je ni za matibabu tu ya lissu,au ni dili la makengeza?
 
Back
Top Bottom