Euphransia
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 937
- 778
Nawapongeza sana wabunge wa CCM pamoja Na kiapo chao cha kuisimamia serikali wameamua kuwa Idara ya serikali.Nawaomba Wapinzani pamoja Na uchache wao wanajitahidi kupaza sauti nasi tunawasikia.Wabunge wa CCM hawaonekani kushangaa kwanini Bajeti walioipitisha ya 2016/2017 ya trilioni 19 Serikali imeshindwa kuitekeleza? Wabunge wa Upinzani wanapoihoji Serikali Wabunge wa CCM wanawapinga.Nawapongeza sana wabunge wa CCM Kwa msimamo wenu.