VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Ni vema kuwapa heshima viongozi wetu. Jeshi letu limejitoa kwa dhati na Serikali kwa ujumla,Toka hatua za awali Hadi hitimisho Mazishi.
Sina hakika na gharama zilizotumika Ila inaonekana ni kubwa sana. Maeneo mengi kuagwa mwili, idadi ya viongozi walioshiriki ,idadi wanajeshi.
Mazishi ya Kwandikwa ukiacha Dar, msibani pekee wamehudhuria mawaziri karibu wote, makatibu wizara, wajuu mikoa jirani, ....magari ya serikali zaidi ya 300.
Msiba huo huenda!! Sina hakika umerigarimu taifa hospitali ya wilaya moja Fully equiped. Serikali ina viongozi wengi waliopo na wastaafu nashauri pawepo na protocol maalumu heshima na gharama ya namna Serikali inashiriki, wanadamu hakika tunajua tutakufa. Tuondoe double std na gharama zisizo za Lazima.
Makaburi ya familia pia yanaonekana yamefanyiwa ukarabati yana muonekano mpya. Na Hayati Kwandikwa kasitiriwa katika kaburi mfano Amiri Jeshi JPM!
Rejea you tube : Kifo na mazishi Kwandikwa
Sina hakika na gharama zilizotumika Ila inaonekana ni kubwa sana. Maeneo mengi kuagwa mwili, idadi ya viongozi walioshiriki ,idadi wanajeshi.
Mazishi ya Kwandikwa ukiacha Dar, msibani pekee wamehudhuria mawaziri karibu wote, makatibu wizara, wajuu mikoa jirani, ....magari ya serikali zaidi ya 300.
Msiba huo huenda!! Sina hakika umerigarimu taifa hospitali ya wilaya moja Fully equiped. Serikali ina viongozi wengi waliopo na wastaafu nashauri pawepo na protocol maalumu heshima na gharama ya namna Serikali inashiriki, wanadamu hakika tunajua tutakufa. Tuondoe double std na gharama zisizo za Lazima.
Makaburi ya familia pia yanaonekana yamefanyiwa ukarabati yana muonekano mpya. Na Hayati Kwandikwa kasitiriwa katika kaburi mfano Amiri Jeshi JPM!
Rejea you tube : Kifo na mazishi Kwandikwa