Pongezi kwa Rais Samia

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,402
942
Pongezi nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia suluhu Hassan kwa ziara aliyoifanya katika Mikoa mitatu,ziara iliyohusisha Mkoa wa Mbeya,Njombe na Iringa kwa mfululizo bila kupumzika. Ni ziara muhimu iliyoleta matumaini zaidi kwa Watanzania.

kwa kufungua fursa zaidi ,uboreshwaji wa huduma na miundombinu sanjari na utatuzi wa changamoto na kero zilizokuwa zikiwakabili wananchi wa Mikoa husika . Maelekezo yake na ahadi zake alizozitoa zimekuwa matumaini na fursa kwa wakazi wa Mikoa hiyo na Tanzania kwa ujumla.

Huu utawala wa Rais Samia Suluhu ni neema kubwa kwa watanzania mungu aendelee kumuongoza
 
1660394996303.png
 
Pongezi nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia suluhu Hassan kwa ziara aliyoifanya katika Mikoa mitatu,ziara iliyohusisha Mkoa wa Mbeya,Njombe na Iringa kwa mfululizo bila kupumzika. Ni ziara muhimu iliyoleta matumaini zaidi kwa Watanzania.

kwa kufungua fursa zaidi ,uboreshwaji wa huduma na miundombinu sanjari na utatuzi wa changamoto na kero zilizokuwa zikiwakabili wananchi wa Mikoa husika . Maelekezo yake na ahadi zake alizozitoa zimekuwa matumaini na fursa kwa wakazi wa Mikoa hiyo na Tanzania kwa ujumla.

Huu utawala wa Rais Samia Suluhu ni neema kubwa kwa watanzania mungu aendelee kumuongoza
Tunampongeza kwa dhati,next time awe anafanya ziara za namna hii kwamba anaenda Kanda fulani anapiga mikoa 3 hivi then anarudi it makes sense 👇
 

Attachments

  • 20220813_095405.jpg
    20220813_095405.jpg
    99.2 KB · Views: 3
Acha mawazo mgando Rais Lazima apite kukagua maendeleo anayofanya na kusikiliza direct changamoto za wananchi na kuzitatua kama Rais Samia anavyofanya
Sasa kama ni kawaida na ni lazima unampongeza wa nini ? Huoni ni upotevu wa resources za grey matter huenda ungezitumia vema katika fikra ya utatuzi wa changamoto ? Au ku-criticise polipopwaya ili parekebishwe ? Au all is well ?
 
Tuzidi kumuunga mkono Bibie tusimkatishe tamaa.

Wanawake wanaweza.
Tena wanaweza mala mbili ya wanaume maana mama kwa kipindi cha mwaka mmoja amefanya maendeleo makubwa sana ya kihistoria kama vile Elimu bule, amepeleka maji mpaka vijijini, umeme mpaka vijijini, pia ameboresha sekta ya afya kwa kupunguza gharama za matibabu
 
Tena wanaweza mala mbili ya wanaume maana mama kwa kipindi cha mwaka mmoja amefanya maendeleo makubwa sana
Sema anajitahidi,kwa maana wakati anaapishwa watu walisema maneno maneno kuwa Jinsia yake huwa hawawezi kazi ya Uongozi mkuu wa Nchi.

Sasa kaonyesha uwezo kama Mwanaume mwenye Kende mbili.

Wanawake wakipewa fursa wanaweza kutuliko sisi wapigaji wabobezi.
 
Sasa kama ni kawaida na ni lazima unampongeza wa nini ? Huoni ni upotevu wa resources za grey matter huenda ungezitumia vema katika fikra ya utatuzi wa changamoto ? Au ku-criticise polipopwaya ili parekebishwe ? Au all is well ?
Tatizo lenu baadhi ya watanzania hamjui mnataka nini akienda nje mnalalmika anenda nje tu sasa anafanya ziara za ndani still mnalalamika
bahati nzuri Rais Samia yeye anafanya kila kitu anachoona kinamaendeleo katika nchi yake hajari maneno yeye kazi yake ni utekelezaji tu
 
Pongezi nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia suluhu Hassan kwa ziara aliyoifanya katika Mikoa mitatu,ziara iliyohusisha Mkoa wa Mbeya,Njombe na Iringa kwa mfululizo bila kupumzika. Ni ziara muhimu iliyoleta matumaini zaidi kwa Watanzania.

kwa kufungua fursa zaidi ,uboreshwaji wa huduma na miundombinu sanjari na utatuzi wa changamoto na kero zilizokuwa zikiwakabili wananchi wa Mikoa husika . Maelekezo yake na ahadi zake alizozitoa zimekuwa matumaini na fursa kwa wakazi wa Mikoa hiyo na Tanzania kwa ujumla.

Huu utawala wa Rais Samia Suluhu ni neema kubwa kwa watanzania mungu aendelee kumuongoza
Asante kwa kutufahamisha wananchi.Mungu ampe nguvu,kipenzi chetu,Mama yetu,Mama Samia.Wananchi tunamuunga mkono.Mungu ibariki Tanzania.
 
Tena wanaweza mala mbili ya wanaume maana mama kwa kipindi cha mwaka mmoja amefanya maendeleo makubwa sana ya kihistoria kama vile Elimu bule, amepeleka maji mpaka vijijini, umeme mpaka vijijini, pia ameboresha sekta ya afya kwa kupunguza gharama za matibabu
Umesema kweli tupu.
 
Kilichobakia ni Katiba mpya na Tume huru

Halafu aitishe Uchaguzi ili ajipime kwenye uwanja huru wa Kidemokrasia, asisubiri hadi 2025.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom