Hivi vitu bhana ukiwa na stress vitumie kula pombe za kutosha piga muziki huyo demu wako aliekuzingua unamsahau fasta tu ndo mana darassa kasema MAISHA NA MUZIKI na SI MAISHA NA MAPENZI
Tunahitaji waturudishie chanel zetu za bure kama walivyohaidi la sivyo waturudishie analogia yetu maana antena bado tunazo. Huu ni uonevu mkubwa na unyonyaji pia pia ni laana kumnyonya maskini hata kwa kile kidogo alichonacho.
Hivi vitu bhana ukiwa na stress vitumie kula pombe za kutosha piga muziki huyo demu wako aliekuzingua unamsahau fasta tu ndo mana darassa kasema MAISHA NA MUZIKI na SI MAISHA NA MAPENZI