Pongezi kwa mgunduzi wa muziki na Pombe

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Hivi vitu bhana ukiwa na stress vitumie kula pombe za kutosha piga muziki huyo demu wako aliekuzingua unamsahau fasta tu ndo mana darassa kasema MAISHA NA MUZIKI na SI MAISHA NA MAPENZI
 
Tunahitaji waturudishie chanel zetu za bure kama walivyohaidi la sivyo waturudishie analogia yetu maana antena bado tunazo. Huu ni uonevu mkubwa na unyonyaji pia pia ni laana kumnyonya maskini hata kwa kile kidogo alichonacho.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom