Pongezi kwa Chuo Kikuu SUA

Hao wanaendesha pikipiki Cape to Cairo utalinganisha na hawa ngozi nyeusi? Safety measures vipi?
 
BVM isikie kwenye redio hivyo hivyo, kozi ngumu sana.
SUA ndio chuo chenye tija kuliko vyote nchi hii, sisi vyuo vingine vinafundisha sheria za madini alafu wakienda mahakama za kimataifa wanatetea nchi kwa kusema you know I didn't wake up well today
 
Mbona.vyuo vyote wanafanya hivyo
 
Ndio maana nkamjibu huyo mdau kwa umri wa miaka 24 huyo dogo asingeweza kufikisha miaka minne chuoni kwa hiyo course angekuwa mvuta bangi.

Nina rafiki angu alianza hiyo kozi akafeli mara 3 mfululizo ikabidi abadilivl kozi kabisa.
 
Ndio maana nkamjibu huyo mdau kwa umri wa miaka 24 huyo dogo asingeweza kufikisha miaka minne chuoni kwa hiyo course angekuwa mvuta bangi.

Nina rafiki angu alianza hiyo kozi akafeli mara 3 mfululizo ikabidi abadilivl kozi kabisa.
Nimemkataza mdogo wangu asiisome, alikuwa aianze mwaka huu nikamwambia sumu haijaribiwi kwa kuonjwa.
 
How come waendeshe pikipiki ZA KICHINA na Mara Nyingi no Services to Moro Karatu??? Na wakati Barabara ina Malori na Buses nyingi na Madereva vichaa??? Mara nyingi Mungu tunamsingizia na sio kila ajali aina kinga. Kama ni Uchumi hawa Madogo wamepitiliza.
 
Tena Pikipiki ya KichinašŸ˜­ Ingekuwa ya mjapani au Mjerumani sawa ili hizi Sun lung sijui Houjue hapana kwa kweli
 
Pikipiki made in China na pengine ata Service aikufanyiwa uende nayo more than 600+KM?? No way! Mara nyingi Mungu tunamsingizia
 
Mkuu hii imetokea wapi?
 
Ni sahihi. Walikuwa na pikipiki gani na kweli wana makosa sana. Yaani usafiri na boda toka Morogoro to Dodoma then to Manyara/Arusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦