Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.
Chama cha Mapinduzi kinahusikaje hapa? Nacho ni mahakama?