PONDA mbioni kuachiwa

Status
Not open for further replies.

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.

Hatahivyo,Polisi wanaandaliwa kudhibiti hali itakayojitokeza siku atakapoachiwa Ponda.'Kila jambo lina wakati wake.Sheikh Ponda ataachiwa kwa dhamana hivi karibuni.Hali inaimarika kila kukicha' alisema Afisa mmoja wa Usalama wa Taifa. ' Kuana maandalizi ya kiintelijensia yanamaliziwa.Baada ya hapo,kila kitu kitakuwa sawa' aliongeza.Afisa huyo alisema hayo baada ya mimi kumdadisi juu ya ni kwanini Ponda bado hana dhamana ili hali makosa anayoshtakiwa kwayo yanadhaminika. Ni suala la muda tu
 
huyo atarudi selo tu...anaonekana ni mchochezi na hataacha...such ppo belong in jail na sio kwenye community...hana faida yoyote kwa jamii akae huko huko segerea
 
Hii ni dunia tu. Wewe ukipewa dhamana ukaona kuwa kupitia dhamana hiyo unaweza kufanya ubabe,we fanya lakini ukumbuke kesho kuna kuulizwa mbele ya Muumba wa mbingu ardhi na kila kilichomo. Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa mawe. Kiuzalendo alichofanyiwa ni dhuruma hana kosa lakufanya asipewe dhamana.
 
Adhaminiwe asithaminiwe jela kakaa, na bado yuko jela, hiyo ilikuwa ni kumuonyesha kuwa hayuko juu ya sheria, kakalia koti Kavu huyooo, na akitoka Kwishineeeee
 
Huyu jamaa ana kwao, kwanini polisi isifikirie kmrudisha kwao, sisi tumechoka na vurugu zake. Nashangaa sana intelijensia za nchi hii, wanasubiri mpaka madhara yatokee ndio waanze kuhanya.
 
Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.

Hatahivyo,Polisi wanaandaliwa kudhibiti hali itakayojitokeza siku atakapoachiwa Ponda.'Kila jambo lina wakati wake.Sheikh Ponda ataachiwa kwa dhamana hivi karibuni.Hali inaimarika kila kukicha' alisema Afisa mmoja wa Usalama wa Taifa. ' Kuana maandalizi ya kiintelijensia yanamaliziwa.Baada ya hapo,kila kitu kitakuwa sawa' aliongeza.Afisa huyo alisema hayo baada ya mimi kumdadisi juu ya ni kwanini Ponda bado hana dhamana ili hali makosa anayoshtakiwa kwayo yanadhaminika. Ni suala la muda tu





HATA SISI CHADEMA TUNAPENDA IWE IVO
NDIO HASA MSIMAMO WA CHAMA CHETU
PIIIPOOOOZ...
:dance: :horn: :peace:
 
Bado nakumbuka ndugu zetu walivyokuwa wanatamba kwamba kitanuka vibaya sana endapo Ponda atakamatwa...kumbe yalikuwa mambo ya nyuma ya keyboard tu...anyway kama hakuna sababu za msingi wampe dhamana yake ila anatakiwa awe anaripoti mara kwa mara polisi na asitoke nje ya mkoa wa Dar es salaam mpaka hapo kesi itakapokwisha.
 
Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, yuko mbioni kuachiwa kwa dhamana muda wowote kuanzia sasa.Taarifa zilizonifikia toka vyanzo vyangu vya uhakika vya Polisi,Usalama wa Taifa na Chama cha Mapinduzi zinasema kuwa Sheikh Ponda atalegezewa masharti ya dhaman ili aachiwe.

Hatahivyo,Polisi wanaandaliwa kudhibiti hali itakayojitokeza siku atakapoachiwa Ponda.'Kila jambo lina wakati wake.Sheikh Ponda ataachiwa kwa dhamana hivi karibuni.Hali inaimarika kila kukicha' alisema Afisa mmoja wa Usalama wa Taifa. ' Kuana maandalizi ya kiintelijensia yanamaliziwa.Baada ya hapo,kila kitu kitakuwa sawa' aliongeza.Afisa huyo alisema hayo baada ya mimi kumdadisi juu ya ni kwanini Ponda bado hana dhamana ili hali makosa anayoshtakiwa kwayo yanadhaminika. Ni suala la muda tu

1. Ponda ni sisimizi tu hawezi kuviweka busy vyombo vyote hivyo vya usalama.
2. Hakuna tishio la usalama kwa Ponda akiwa rumande na hata akitolewa.
3. Usalama wa taifa sio wasemaji wa ishu ya kumtoa au kutomtoa Ponda
4. Ponda akitaka dhamana asubiri Alhamis kesi yake itakaposomwa

Acha kudanganya watu wewe
 
Hii ni dunia tu. Wewe ukipewa dhamana ukaona kuwa kupitia dhamana hiyo unaweza kufanya ubabe,we fanya lakini ukumbuke kesho kuna kuulizwa mbele ya Muumba wa mbingu ardhi na kila kilichomo. Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa mawe. Kiuzalendo alichofanyiwa ni dhuruma hana kosa lakufanya asipewe dhamana.

Ana haki zote za kupewa dhamana kama wezi wengine,wala si mti wenye tunda la aina yeyote hata lenye miba hana.ndo mu-amsha watu wakavunje,kuiba na kutaka kuchinja watu.kama hawezi kuishi nchi ya amani basi aende kwa watu wa mlengo wake middle east au sudan,somalia au NIGERIA kwa ma-firauni wenzie.Wanako uana kama vichaa na ma vampaya.
*Ile sumu ya ku-oa na kubaka mtoto 6na9 mpaka leo ina watafuna.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom