chadema imekuwa chama cha ukiristo mno sasa, kilivyoanza nilihamasika na nilitamani kiungane na CUF ili tuing'oe CCM madarakani ila ss hv ni wazi kuwa mnasimamia kanisa na kiongozi yoyote wa kiisalm ni mdini ila wa kikristo ndio mwanademokrasia, tunapokwenda huku sipo, ila kama ni hivyo mnataka kanisa ndio litawale nchi basi ingizeni chama rasmi cha kanisa na sisi tutaingiza cha sheria na mahakama za kiislam, halafu kwa mujibu wa sensa yenu ile ya TBC mnaaminishwa kuwa nyinyi ndio wengi ila sote wenye akili timamu tunajua wengi ni kana nani, na kwa taarifa yenu tu khilafa will be back, i am sure u can read the signs egypt, mali, nigeria, middle east, somalia, kenya, tanzania, asia, russia, europe and america. Nd sisi hatuna chuki na wakiristo wala wasiokuwa waislam bali nyinyi wengi wenu mmepandikizwa chuki, soon we will rule the world peacefuly
kama ilivyo kwa chadema ambapo kumejaa wachungaji na maaskofu na watoto wa wachungaji,angalia mchungaji msigwa,mchungaji israel natse,padre slaa na mtoto wa mchungaji joshua nasari
Binafsi sikuamini kauli iliyotolewa kama ni ya Prf Lipumba kweli.hivi kiongozi kama Lipumba anaweza kuwatetea wahalifu waliotenda makosa ya wazi wazi!!?.hawa ndio viongozi wanaotaka kuja kuwa raisi baadae halafu utegemee Tanzania itaendelea thubutu!
kama ilivyo kwa chadema ambapo kumejaa wachungaji na maaskofu na watoto wa wachungaji,angalia mchungaji msigwa,mchungaji israel natse,padre slaa na mtoto wa mchungaji joshua nasari
Hivi huyu Bwana si ndio alihusika na kuhamasisha watu wagomee sensa.., na fujo zilitokea kutokana na maandamano / mkusanyiko ambao na yeye alihusika ? au hayo sio makosa kwa mujibu wa sheria zetu ?
I might be wrong lakini nadhani Tanzania is a safer place bila huyu ndugu yetu kuwa uraiani
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:Mwananchi.
Hiyo tafasiri yako wale hawaongozi kidini kama unavyofikiri jina hilo la Muslim Brotherhood lisikusumbue.nyie wakristo siwalaumu sana kwa hayo mnayoyasema coz hamjui myasemayo wala mnayotenda, alieanzisha udini tanzania marehemu ngedere laanatullah yupo kaburini sasa hv anapoke kichapo chake daily, sisi waislamu hatuna chama tunachofungamana nacho coz hakuna chama chochote tanzania chenye sheria za kiislam, ila nyinyi chama chenu cha kanisa aka chadema kipo kuwatetea, na msitake kutupumbaza kuwa eti kikwete mdini kwetu sisi waislam hana mchango zaidi ya kutalii nchi mbalimbali na kushangaa shangaa tu. Ila ngoja niwape siri moja karibuni tunaanzisha chama chetu muslim brotherhood, naam kile kilichochukuwa nchi egypt na kinaendelea kuenea duniani sasa hapo tutakuwa na chama cha dini kabisa tuone kama mtatuzuia, soon come nd no one can stop us now
BAKWATA ipo kisheria ndio. Ndio maana inamiliki mali. Inaendesha IBADA za KIISLAM kitaifa kama jana kule Mwanga. Nikwambie jambo moja Ritz: Mkifanikiwa kuivunja BAKWATA hamtaweza kuunda umoja kama huu nchi hii. Waislamu ni ndugu zangu, ni shemeji zangu, ni majirani na marafiki zangu wakubwa. Nawafahamu. Sio wamoja kiivyo. Hawawezi kuunda chombo cha pamoja kama ilivyo BAKWATA ambayo ina uongozi wa wilaya, mkoa hadi TAIFA.
Hata hivyo, KATIBA na sheria za NCHI haziwakatazi kuunda umoja mwingine mbadala wa BAKWATA. Kwa nini mnang'ang'ana BAKWATA ife kwanza au inyang'anywe mali ilizonazo? Sifurahii "ndoa" ya BAKWATA na CCM na serikali yake, lakini chombo hiki kipo kisheria kama ilivyo TEC, CCT, PCT na vingine. Dawa sio kuiua BAKWATA. Dawa ni kuanzisha chombo kingine mbadala.
Nenda zako huko wewe mnywa gahawaMkuu unafanya reference kwa shemeji zako...
Huo ndio uwezo wako wa kufiri huna hoja, na mkipewa nafasi mnaishia kuliaibisha taifa maana umeelewa kwamba ni typing error but unadhihilisha nilichokisema, Chadema labda wawaongeze ninyi pekee ila kwa nchi yote sahau mkuu!
mkuu ulifia wapi?
Nenda zako huko wewe mnywa gahawa
Kwenye mashitaka yaliyomweka ndani Ponda kuna mashitaka mengi makbwa zaidi ya hilo la kuchoma makanisa,Pr. Lipumba asichanganye jinai za Ponda na makanisa